Baada ya kudai kuwa anampango wa kufanya ‘kolabo’ na wasanii wa wakubwa Barani Africa ‘Rapa’ kutoka Marekani #RickRoss ameendelea kuonesha upendo wake kwa #Africa, na sasa ameonesha heshima kwa baadhi ya Marais Barani Africa anaowakubali akiwemo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.
![](../../public/uploads/2024/02/03/fr651a5308325c82e770606a5470728b1f7abbcadb.jpeg)
Licha ya kutaja Marais ambao anawakubali kutokana na kazi wanazo zifanya pia ametaja wasanii ambao anawakubali akiwemo #Harmonize.
Leave a Reply