Mshambuliaji nyota wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda hachezi mpira tu, lakini amekuwa akiwafuatilia wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini na kuwataja watatu kati yao kuwa ...
Usiku wa kuamkia leo supastaa wa Nigeria, Burna Boy amefanya onyesho la muziki ambalo limeacha historia katika mji wa Nairobi nchini Kenya. Tamasha hilo ambalo lilitawaliwa na...
Ukiachana na kile alichoamua kukiamini, kukiishi na kukipigania nje ya muziki kwa lengo kupata haki anayodai kuporwa, hakuna ubishi kuwa Dudu Baya ni miongoni mwa wasanii wali...
Ikiwa leo siku ya kwanza ya mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan staa wa muziki Harmonize ametumia mwezi huu wa toba kuwaomba msamaha watu wote aliopishana nao kwa namna moja a...
Kufuatia changamoto ya kimazingira ambayo ilipelekea baadhi ya Tuzo za Trace Music Awards kushindwa kukabidhiwa kwa wahusika siku ya ugawaji wa tuzo hizo visiwani Zanzibar Feb...
Mwanamuziki kutoka Kenya ambaye ameshinda tuzo ya Trace Award katika kipengele cha msanii bora Afrika Mashariki, Bien amemkingia kifua Marioo baada ya wadau na muziki kumnanga...
Rapa kutoka Marekani Offset amewasilisha madai mahakamani akitaka kushiriki malezi ya pamoja ya watoto wao na aliyowapata na aliyekuwa mke wake Cardi B.Kwa mujibu wa nyaraka z...
Tajiri na mmiliki wa mtandao wa X (zamani Twitter) Elon Musk ameongeza familia mbapo kwa sasa ameripotiwa kupata mtoto mwingine wa 14.Taarifa hiyo imetolewa na mpenzi wake Shi...
Mwanamuziki wa Bongo fleva nchini Rayvanny ametangaza kufunga ndoa mwezi wa Tano na mpenzi wake wa muda mrefu Fahyma.Kupitia ukurasa wa Instagram wa Vanny Boy ameshare picha y...
Aliyekuwa mshiriki wa Shindano la Kusaka Vipaji (BSS) Moses Luka (DRC) ameibuka mshindi katika shindano hilo lililoanza mwishoni mwa 2024 na kumalizika Februari 28,2025.Moses ...
Nyota wa muziki nchini Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' amesema atawasaini kwenye rekodi lebo ya WCB, waliokuwa washiriki wa mashindano ya kusaka vipaji (BSS) Moses Luka (DRC) ...
Baada ya bondia wa ngumi za kulipwa, Floyd Mayweather kumwagia sifa Rais wa Marekani Donald Trump kuwa ni Rais bora, sasa mwanamuziki 50 Cent hakulikalia kimya suala hilo huku...
Mwanamuziki kutoka Bongo ambaye amepokea pongezi nyingi kufuatia na kupiga show kali aliyoifanya katika tamasha la Trace Awards, Harmonize amewatia mkwala watakao fanya fujo k...
Moja ya tukio ambalo limepokea maoni mengi kutoka kwa mashabiki na mastaa katika shamra shamra za ugawaji wa tuzo za Trace ni kuhusiana na mwanamuziki Diamond kusafirisha gari...