Ramadhani Kareem! Kama tunavyojua mwezi huu ni mwezi wa kula vitu laini laini. Basi Mwananchi Scoop hatuwezi kukaa kimya tupo na wewe sako kwa bako kuhakikisha unapata cha kuf...
Mwanamuziki Jose Chameleone ametoa shukrani kwa mashabiki wake, marafiki, na serikali ya Uganda kwa kumuunga mkono na kuwa pamoja naye wakati akipambania afya yake. Chameleone...
Mkali wa hip-hop, Jay-Z amekuwa akiweka wazi kuhusu maisha yake ya awali na uhusiano wake na baba yake, Adnis Reeves ambaye aliikimbia familia. Katika mahojiano aliyofanya hiv...
Moja ya wimbo ambao umekuwa ukikubalika zaidi hasa kipindi cha huzuni ni ‘See You Again’ uliyoimbwa na mwanamuziki Wiz Khalifa akimshirikiana na Charlie Puth.Wimbo...
Msanii wa Bongofleva Harmonize wakati akielekea kutoa dozi ya burudani 'Tukaijaze Nangwanda' itakayofanyika Mtwara, ameandaa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki.Harmonize a...
Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria, Tiwa Savage wakati akifanya mahojiano na Forbes Africa. Amekiri kutokuwa na mpango wa kuongeza msanii kwenye lebo yake ya The 323 Entert...
Nyota yake iling'aa baada ya kuonekana katika shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS) na sasa Kala Jeremiah ni miongoni mwa wasanii bora wa Hip Hop kuwahi kutokea...
Siku kama ya leo Machi 9, 1997 ulimwengu ulimpoteza mkali wa muziki wa Hip-Hop Christopher Wallace ‘The Notorious B.I.G’ akiwa na umri wa miaka 24.Kifo chake kilit...
Kanye West ametangaza kuirejesha ibada yake ya Jumapili inayofahamika kama Sunday Service ambayo itafanyika Machi 16, 2025.Kupitia ukurasa wake wa instagram ameshea baadhi ya ...
Rapa kutoka nchini Marekani, Kanye West 'Ye' amefanya mawasiliano kwa njia ya simu na nguli wa Hip Hop duniani Sean Diddy Comb 'Pdiddy' pamoja na rapa Lil Durk ambao wanashiki...
Rapa na mtayarishaji wa muziki nchini , Mabeste amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Divashia.Mabeste ameweka wazi taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiony...
MIAKA MITATU YA UKIMYA WA KOFFEE Ni miaka mitatu sasa imepita mashabiki wa muziki hawajapokea kazi yoyote kutoka kwa mkali Koffee ambaye ni mwimbaji, rapa na mpiga gitaa kutok...
Wakili wa rapa Tory Lanez, Moe Gangat ameyalalamikia majukwaa ya muziki kuficha Album mpya ya 'Peterson' kutoka kwa msanii huyo akidai kuwa hawataki iingie kwenye trend.Wakili...
Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Dude ametoa neno baada ya mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanj...