Mehran Karimi Nasseri, raia kutoka Iran aliwavutia wengi baada ya kuishi katika Uwanja wa Ndege wa Charles de Gaulle, uliopo jijini Paris kwa zaidi ya miaka 18.Mwaka 1988, Nas...
Ikiwa leo ni Alhamisi, kwenye 'Tbt', tukumbushane chimbuko la muziki wa Bongofleva ambalo limekuwa likizua mijadala mara kwa mara.Muziki huo ulianza mwanzoni mwa miaka ya 1990...
Maisha yanachangamoto zake, na siyo kila tajiri au mtu maarufu alizaliwa katika mazingira hayo. Wengi wao walianza kujitafuta chini lakini sasa wameuteka ulimwengu kwa majina ...
Mike Tyson ni mmoja kati ya mabondia maarufu zaidi katika historia ya ndondi za uzito wa juu (heavyweight). Alijulikana kwa umahiri wake, kasi na mtindo wa kumshambulia mpinza...
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na Kusini kufikisha stream milioni 500 kwenye mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki Boomplay.Rekod...
Mwanamuziki wa K-Pop kutoka Korea Kusini, Wheesung, anaripotiwa kukutwa amefariki nyumbani kwake jana Jumatatu Machi 11, 2025. Huku polisi wakichunguza sababu ya kifo chake am...
Hakuna ubishi kuwa MB Dogg ni miongoni mwa wasanii wachache wa Bongofleva ambao muziki wao ulitikisa vilivyo, ngoma zake zililia sana mitaani na kutawala chati karibia zote za...
Imetimia miaka miwili tangu mwanamuziki kutoka Afrika Kusini, Costa Titch afariki dunia ambaye alifariki baada ya kuanguka jukwaani wakati alipokuwa akitumbuiza.Kupitia ukuras...
Msanii wa R&B kutokea Marekani, Shaffer Chimere Smith maarufu kama Ne-Yo amethibitisha kuwa yuko kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengi akiwatambulisha wanawake z...
Wakati baadhi ya wasanii wa vichekesho wakitoa maudhui mbalimbali yanayohusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, wanazuoni wa dini hiyo wametoa angalizo la ujumbe na maadili katika kaz...
Olipa Assa, MwananchiDar es Salaam. Msanii wa Bongo Fleva wa miondoko ya R$B, Ben Pol anatarajia kuachia wimbo aliofanya na DJ Don Diablo kutoka Ulaya.Mwaka 2016 Diablo alichu...
Ramadhani Kareem! Kama tunavyojua mwezi huu ni mwezi wa kula vitu laini laini. Basi Mwananchi Scoop hatuwezi kukaa kimya tupo na wewe sako kwa bako kuhakikisha unapata cha kuf...
Mwanamuziki Jose Chameleone ametoa shukrani kwa mashabiki wake, marafiki, na serikali ya Uganda kwa kumuunga mkono na kuwa pamoja naye wakati akipambania afya yake. Chameleone...
Mkali wa hip-hop, Jay-Z amekuwa akiweka wazi kuhusu maisha yake ya awali na uhusiano wake na baba yake, Adnis Reeves ambaye aliikimbia familia. Katika mahojiano aliyofanya hiv...