07
Mtuhumiwa Mauaji Ya Tupac Afunguka
Duane “Keffe D” Davis ambaye ni mwanachama wa zawani wa genge la ‘Southside Compton Crips’ kutoka California, Marekani anayetuhumiwa kwa mauaji ya Tupa...
06
Offset Apuuzia Msimamo Wa Lebo Yake
Rapa Offset amepanga kutumbuiza katika tamasha litakalo fanyika Moscow, nchini Urusi licha ya lebo inayomsimamia Universal Music kusitisha kufanya shughuli za muziki nchini hu...
06
Kolabo Ya Rayvanny Na Maluma Ilikuwa Hivi
Mkali wa Bongo Fleva ambaye ameendelea kuupeleka muziki huo Kimataifa Rayvanny amefichua alivyofanikiwa kumshawishi Maluma kufanya naye kolabo ya wimbo wa ‘Mama Tetema&r...
06
Kombe La Dunia 2026 Kama Super Bowl
Rais wa FIFA, Gianni Infantino amethibitisha rasmi mabadiliko makubwa ya fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026 ambapo kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo, kut...
06
Kanye Amtaka Drake Asome Hotuba Kwenye Mazishi Yake
Rapa Kanye West ameweka wazi pindi atakapofariki basi angependa msanii mwenzake Drake awe msomaji wa hotuba katika siku hiyo.Kupitia ukurasa wa X (zamani twitter), Kanye amemu...
06
Amber Rose Amkingia Kifua Diddy
Amber Rose, mwanamitindo na msanii amemkingia kifua rapa Diddy Combs akidai kuwa tangu aanze kwenda kwenye party za msanii huyo hajawahi kuona unyanyasaji wa kingono.Kwenye ma...
06
Huyu ndiye Master J usiyemfamu
Wanapotajwa mastaa wenye mchango mkubwa kwenye gemu ya Bongo Fleva, Joachim Marunda 'Master j' jina lake lazima liwepo.Uzoefu wake kwenye gemu huku akiwa amenoa vipaji mbalimb...
06
Afande Sele alivyowakalisha Mwana FA, Profesa Jay
Ikiwa leo ni Alhamisi ya tarehe 6, Machi 2025 siku ambayo watu wengi huitumia kukumbuka baadhi ya matukio na mambo yaliyotokea miaka ya nyuma, moja kati ya tukio kubwa ambalo ...
06
Mbinu Aliyotumia Rayvanny Kuondoka WCB Bila Maneno
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ amefichua mbinu aliyotumia kuondoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) bila drama yoyote wala maneno h...
06
Rushwa Ya Ngono Ilivyomnyima Tuzo Yemi Alade
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Yemi Alade amefunguka kuwa amekosa tuzo nyingi kutokana na kukataa kutoa rushwa ya ngono.Wakati alipokuwa kwenye moja ya mahojiano yake Yemi ...
05
Culkin Atokwa Machozi Kisa Tuzo Za Oscar
Mwigizaji wa Marekani ambaye alipata umaarufu kupitia filamu ya ‘Home Alone’ Macaulay Culkin amefunguka kuwa alimwaga machozi baada ya mdogo wake Kieran Culkin kus...
05
Yaliyofanyika Kusafisha Jina La Burna Boy Kuhusu Diddy
Baada ya mkali wa Hip-Hop kutoka Marekani Sean Combs ‘Diddy’ kukamatwa Septemba 16, 2024 na kutupwa katika gereza la Metropolitan, majina ya baadhi ya mastaa yalic...
05
Kuwa Gerezani Hakumzuii Tory Lanez Kufanya Yake
Rapa wa Canada, Tory Lanez ametangaza ujio wa album yake ya 'Peterson' inayotarajiwa kutoka March 7, 2025 aliyoiandaa akiwa gerezani. Licha ya kufungwa kwake, Lanez anaendelea...
05
Quick Rocka kwenye maisha ya S2kizzy
Zikitajwa nyimbo kumi za Bongo zenye mafanikio makubwa, lazima jina la mzalishaji muziki S2kizzy litajwe. Hii ni kutokana na mkali huyo kuhusika kwenye kutengeneza nyimbo nyin...

Latest Post