15
Sasa Utaweza Kuweka Mitandao Ya Kijamii Kwenye Whatsapp Yako
Ikiwa ni mwendelezo wa maboresho katika mtandao wa WhatsApp ambao unadaiwa kuwa na watumiaji wengi zaidi, sasa wameweka program mpya ambayo itawasaidia watumiaji wake kuweka l...
08
Watumiaji Wa Iphone Wataweza Kutuma Sms Sehemu Isiyo Na Mtandao
Apple, SpaceX, na T-Mobile wameungana katika ushirikiano wa kimkakati ili kuboresha mawasiliano kwa watumiaji wa iPhone.Kupitia ushirikiano huu, iPhone zenye toleo jipya la pr...
01
Akili Bandia Sasa Inaweza Kukutunzia Taarifa Binafsi
Watumiaji wa Akili Bandia (AI) katika mitandao yao ya kijamii kama vile WhatsApp, Instagram na Facebook Messenger wataweza kutunza taarifa zao binafsi ambazo wataziweka katika...
25
Zingatia Haya Unaponunua Charger Ya Simu
Haipiti muda mrefu unanunua charger mpya ya simu yako? Inawezekana kuna sehemu unakosea. Zingatia haya unapotaka kununua charger mpya.1.Aina ya plug (Port), Angalia kama charg...
18
Kifaa Kinachoweza Kuchaji Simu Sekunde Mbili Asilimia 100 Chazinduliwa
Kampuni wa Swippitt ambayo inajihusisha na utengenezaji wa vitu mbalimbali vya umeme wakati wa onesho la Ces 2025, imezindua kifaa...
11
Apple Kuanza Kutumia Kamera Za Samsung
Kampuni ya kutengeneza vifaa mbalimbali vya mawasiliano Apple, imeripotiwa kuwa na mpango wa simu zake zijazo za ‘Iphone’ kuanza kutumia kamera za Samsung.Imeelezw...
04
Whatsapp Kuacha Kufanya Kazi Kwenye Simu Hizi!
Mtandao unaokubalika zaidi duniani kote wa WhatsApp umetangaza kuacha kufanya kazi katika simu za zamani za Android ambazo hazipati Updates za mfumo mpya unaofanyika kila mwak...
15
Bado gemu inamdai Wema Sepetu
Point of no Return ni filamu, kuna pisi kali ilionekana humo. Ina sauti laini na mvuto wa asili uliovutia wengi. Kubwa zaidi ni ubora wake katika kutendea haki 'sini' na 'skri...
26
META kuzindua miwani itayofanya shughuli za kwenye simu
Kampuni ya Meta ipo mbioni kuja na miwani mpya yenye teknolojia ya hali ya juu ambayo inatajwa kuwa na uwezo wa kuunganisha ulimwengu wa kidigitali.Miwani hiyo iliyopewa jina ...
25
Utafiti: Watumiaji wa Iphone wanakiwango kidogo cha fedha na elimu
Wengi wanadhani kuwa watumiaji wa iPhone ni watu wenye fedha na elimu. Licha ya dhana hizo utafiti uliofanyika China ulibaini kuwa mawazo hayo ni tofauti na uhalisia.Utafiti h...
14
Jinsi ya kuficha baadhi ya SMS za Whatsapp
Je unatamani kuficha baadhi ya chats zako wengine wasizione? Kama ulikuwa unatumia njia ya kufungua WhatsApp yako na kuingia kwa Face ID au Passcode, sasa unaweza kuachana na ...
06
Wanasayansi waunda Nzi kwa kutumia kinyesi cha Binadamu
Timu ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Macquarie cha Australia wameanza harakati kukabiliana na janga la taka duniani ambapo wameamua kuunda Nzi kwa kutumia kinyesi mwenye ...
03
Iphone zitakuwa na uwezo kwa kurekodi mazungumzo
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni ya simu za Iphone imeweka wazi kuwa katika mfumo wao wa ‘iOS 18.1’ wanatarajia kufanya maboresho katika upande wa kupi...
02
Cheni ya akili bandia inayoweza kukupa kampani wakati wowote
Mwanafunzi aliyeacha masomo katika Chuo kikuu cha Harvard aitwaye Avi Schiffmann kwa mara ya kwanza amevumbua kifaa cha akili bandia (AI) kiitwacho ‘Friend’ kwa le...

Latest Post