Mrembo huyo ambaye amekuwa mshindi wa kwanza ameondoka na zawadi mbalimbali ikiwemo, gari aina ya Mercedes Benz lenye thamani ya shilingi milioni 30 na kitita cha milioni 10. Huku Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Pindi Chana akiwa Mgeni rasmi katika hafla hiyo

Leave a Reply