‘Vision Pro’ inakurahisishia wewe mtumiaji kutotembea na mizigo kama Kompyuta, simu, au kuwa na Tv ndani kwa sababu vyote unaweza kuviunganisha kupitia miwani hiyo inayouzwa dola 3,499 ambayo ni zaidi ya tsh 8 milioni, bei hiyo ni kwa maduka ya Apple nchini Marekani.

Leave a Reply