Ndege hiyo iliyopewa jina la ‘Tsurugi’ mwendeshaji anatakiwa kunyonga kama vile unavyoendesha baiskeli kwa ajili ya kuipa nguvu ya kupaa angani zaidi na kukufanya kuendelea na safari yako.
Kupitia video hiyo inayosambaa mitandaoni ilirekodiwa kuwa ilitembea kwa umbali wa kilomita 19, huku baadhi ya wadau mbalimbali walitoa maoni yao ambapo walieleza kuwa kufuatiwa na ubunifu huo ndoto za watu kumiliki ndege binafsi zinakalibia kuwa kweli.

Leave a Reply