Tazama muonekano mpya wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Asake baada ya kupunga dread alizokuwa nazo na kubakiza nywele chache kichwani.
#Asake ameachia muonekano huo kwa mara ya kwanza wakati akiwa kwenye show siku ya jana katika ukumbi wa ‘Scotiabank Arena’ Toronto nchini Canada.
kutizama video hiyo tembelea instagram ya @Mwananchiscoop
Vipi muonekano gani ulimpendeza zaidi, Huu au ule wa mwanzo?

Leave a Reply