Mzee wa kutetema kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika “Tukutane kwa mkapa” amkimaanisha kuwa kesho atakuwepo
Huku masaa machache yaliyopita amepost picha akiwa na Rais wa ‘klabu’ ya yanga, picha ambayo imeacha maswali mengi kwa mashabiki, akiweka na ujumbe “ijumaa Mubarq”
Oyaaaaah! Mashabiki wa yanga hii imeenda..

Leave a Reply