08
Dude Atoa Neno Dabi Kuahirishwa
Mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Dude ametoa neno baada ya mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga na Simba iliyokuwa imepangwa kuchezwa leo Jumamosi Machi 8, 2025 kwenye Uwanj...
27
Diamond alia na serikali ukosefu wa Arena Tanzania
Mwanamuziki Diamond Platnumz ameiomba Serikali kutengeneza Arena kwa ajili ya matamasha makubwa ya muziki kama Trace.Diamond ameyasema hayo leo Februari 26,2025 wakati akiingi...
17
Mwana Fa: Hakuna Mtawala Kwenye Sekta Ya Uchekeshaji
Kuelekea siku ya ugawaji wa tuzo za Tanzania Comedy Award Tarehe 22 Februari 2025, Naibu waziri wa Habari tamaduni sanaa na michezo Hamis Mwinjuma, Mwana FA amesema tukio hilo...
15
Blinky Bill:Ladha ya muziki wa Tanzania imepotea
S.Mwanamuziki wa Kenya Blinky Bill amesema ladha ya muziki wa Tanzania imepotea. Amegusia 'Nikusaidiaje' ya Professor Jay ft Ferooz na 'Inaniuma sana' (Juma nature) Msanii wa ...
05
Hakuna Barakah The Prince bila Tetemesha Records!
Ni wazi kuwa Barakah The Prince ni miongoni mwa wanamuziki waliojaliwa vipaji vikubwa hasa upande wa uandishi, sauti na melodi za kuvuti zilizofanya jina lake kuwa kubwa katik...
23
Ujio Wa Tanzania Comedy Awards; Hatua Mpya Ukuzaji Tasnia Ya Uchekeshaji
Tasnia ya maigizo ya uchekeshaji wiki hii ilipokea taarifa nzuri baada ya kuzinduliwa kwa tuzo za kwanza za wachekeshaji ambazo zi...
21
Malume Anavyoigonga Hip-Hop Mpaka Kuchezeka Club
Kwa Bongo ni nadra kukuta nyimbo za hip-hop zikipendwa na wanawake ama kuchezwa club, isipokuwa za wasanii wachache ndiyo hupata bahati hiyo.Kati ya wasanii hao ni Moni Centro...
20
Wakali hawa wanainyoosha Hip Hop kwa simulizi
Mtindo wa kusimulia visa na matukio kupitia muziki hasa wa Rap au Hip Hip uliteka hisia za wengi kipindi cha nyuma, jumbe za kuelimisha ndizo zilichukua nafasi kwa asilimia ku...
18
Albamu Mpya Ya Nandy 2025 Ina Maana Gani
Na Peter AkaroStaa wa Bongofleva, Nandy tayari ametangaza ujio wa albamu yake ya pili ambayo inatarajiwa kutoka mwaka huu ikiwa ni miaka tisa tangu alipotoka kimuziki na kibao...
14
Mirabaha Ya Wasanii Kuongezeka Maradufu
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amesema kuwa katika kipindi cha Septemba 2023 hadi Novemba 2024 COSOTA kwa kushir...
13
Djimon Bado Anateswa na Umasikini
Muigizaji Maarufu kutoka Marekani 'Djimon Hounsou' amweka wazi hali ya chumi na kutothaminiwa kwenye tasnia ya filamu Hollywood baada ya kufanya mahojiano na CNN nakufichua ku...
04
Washiriki Miss Tanzania, Wataka Uwakala Wa Vipodozi
Washiriki wa mashindano ya Miss Tanzania wameihimiza Serikali kuimarisha zaidi mazingira ya uwakala wa bidhaa za kimataifa za vipodozi ili kupunguza changamoto ya mianya ya bi...
29
Pastor Tony Kapola ahaidi kumsaidia Hashi Papi, Makonda atoa neno
Pastor Tony Kapola ahaidi kumsaidia matibabu, na kumtafutia nyumba mwanamuziki chipukizi wa Arusha aitwaye Hashi Papi.Ahadi hizo zimetolewa baada ya kijana huyo kutumbuiza usi...
26
Jina Nay wa Mitego lilianza hivi
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...

Latest Post