Mwanamke mmoja kutoka nchini #Uturuki aliyejitambulisha kwa jina la #AY ameripotiwa kuomba talaka akidai kuwa mumewe aitwaye #CY hakuwa msafi wa mwili.
#AY alifikisha ombi la talaka Mahakamani pamoja na mashaidi ambao walithibitisha kuwa mume wa #AY ni mchafu hakuwa akioga wala kupiga mswaki.
Kulingana chombo cha habari kutoka #Uturuki cha ‘#Sabah’ kilieleza kuwa #Mahakama ya 19 ya Familia ilimkuta na makosa mwanaume huyo ambayo yasingeweza kuvumilika kwenye ndoa ndipo ikabidi AY kupewa talaka yake na fidia ya dola 16,419.

Leave a Reply