28
Mr Blue kushinda tuzo, amtaja Sugu
Nguli wa muziki wa Bongo Fleva, Mr Blue hatimaye ameshinda tuzo ya kwanza tangu alipoanza kujishughulisha na muziki 2003.Mkongwe huyo wa Bongo Fleva ameshinda tuzo hiyo ya Ent...
28
Maendeleo afya ya Msaga Sumu yafikia huku
Msanii wa Singeli nchini, Msaga Sumu amesema hali yake inaendelea vizuri, kufuatia ajari ya gari aliyopata wakati akitokea Namtumbo mkoani Ruvuma alipokwenda kutumbuiza kwenye...
28
Wimbo wa mashabiki kwa Marioo
“Marioo anatamba ndani tu, haendi kimataifa.” Hiyo ndio fimbo tunayomchapia mdogo wetu, mshikaji wetu, Toto Badi a.k.a Marioo.Na tunaposema hivyo tunamaanisha kwam...
28
Jiongeze: Samatta aliachwa kama yatima
'255 Champion Boy' Mbwana Samatta, hakupewa sapoti ya kutosha na wadau. Wachache walisapoti harakati zake kwa upekee. Siyo wadau pekee hata wachezaji na viongozi wao...
28
Njia walizopita Wagosi wa Kaya
Kundi  la Wagosi wa Kaya linaloundwa na Dk John na Mkoloni linakumbukwa na wengi kwa nyimbo zao maarufu kama Wauguzi, Tanga Kunani, Kero, Bei Juu, Fat na Soka, Dereva, Tr...
26
Utafiti: Wanandoa Wanaokumbatiana Wakati Wa Kulala Wanafuraha
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na Josh R. Novak na mwanasaikolojia Kaleigh C. Miller kutoka chuo Chuo Kikuu cha Auburn, Marekani umebaini kuwa wanandoa wanaokumbatiana ...
26
Je Harmonize atatoboa Grammy 2026
Peter Akaro Kwa sasa kiu ya Harmonize, staa wa Bongo Fleva kutokea Konde Music Worldwide, ni kushinda tuzo kubwa zaidi za muziki duniani, Grammy. Ni ndoto ambayo ameizungumza ...
26
Baada Ya Miaka 8 Mbosso Na Aslay Wakutana Tena
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini ambaye anatamba na Ep yake ‘Room Number 3’ Mbosso ameweka wazi kuwa baada ya miaka nane kupita hatimaye amekutana tena na msanii ...
26
Crush Wenu Kadata Kwa Mama Wa Watoto Wawili
Mwigizaji maarufu Aaron Stone Pierre, ambaye alijizolea umaarufu duniani kote baada ya sauti yake kusikika katika katuni ya ‘Mufasa: The Lion King’, ameingia kweny...
26
Diddy Awavuruga Mashabiki
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu kutoka Marekani, Sean "Diddy" Combs, ameacha mashabiki wake wakiwa na maswali hii ni baada ya kuposti emoji ya kukodoa macho (👀) kweny...
26
Mashabiki Wanasema Nini Kuhusu Dogo Rema
Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii ametawala msanii mpya, Dogo Rema aliyetambulishwa na muhamasishaji wa mtandaoni Dotto Magari. Ambapo mashabiki wamempokea msanii huyo ...
25
Nyuma Ya Muziki Tyla Anakipaji Hiki!
Wengi wanamfahamu Tyla kwa ngoma zake za kuvutia ikiwemo ‘Water’, lakini mashabiki wengi hawajui kuwa nyota huyo ambaye sauti yake inaushawishi mkubwa katika jamii...
25
Je, Ushawahi Kumuona Morgan Freeman Akiwa Kijana
Morgan Freeman ni jina kubwa katika tasnia ya filamu duniani. Amejizolea heshima na upendo kwa jamii kufuatia na uigizaji wake wa kipekee pamoja na uwezo wake wa kuigia kwenye...
25
Jux Na Mkewe Watarajia Kupata Mtoto
Wanandoa ambao harusi yao ilitikisa Tanzania, Nigeria na mataifa mengine Jux na mkewe Pricy wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.Kupitia ukurasa wa instagram wa wanandoa hao...

Latest Post