14
Jux, Priscilla Wanavyo Wafundisha Wabongo Maana Ya Mahusiano
Wakiwa na miezi sita tu tangu kuweka wazi uhusiano wao, Jux na Priscilla Ojo ‘Hadiza’ wamekuwa wakitoa somo zuri kwa mashabiki na wadau wa Bongo kuhusiana na maana...
12
Urafiki Wa Mke Wa Jux Na Enioluwa Ulianzia Huku
Kati ya watu ambao wamepata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania, kutokana na mbwembwe walizofanya kwenye harusi ya msanii Jux na mkewe Priscilla ‘Hadiza&...
11
2025: Wasanii Wajifunze Elimu Ya Biashara Ya Muziki
Na Ammar MasimbaAsilimia kubwa ya wasanii wanaochipukia na hata wale walioko tayari kwenye gemu ya muziki hawajui jinsi ya kufanya biashara ya kusambaza kazi zao. Hali hii ime...
23
Yammi Ni Bidhaa Bora Sokoni
Ni ukweli usiopingika Yammi ambaye ni first born wa lebo ya The African Princess ya kwake Nandy ni mmoja kati ya wasanii wa kike Bongo wanaofanya vizuri tangu alipotambulishwa...
13
Billnass afungukia ishu yake, mkewe na Diamond
Mwanamuziki William Lyimo 'Billnass' amesema kabla ya kwenda kwenye tamasha lolote ambalo atakuwa amealikwa kitu cha kwanza ambacho huwa anaangalia maslahi ya tasnia kabla ya ...
11
Mapenzi yalivyowaingiza mastaa wa kike kwenye kiwanda cha Video Queens
Unaweza kuutumia msemo wa "Kwenye mafanikio ya kila mwanaume nyuma yake yupo mwanamke", kutokana na baadhi ya video za nyimbo za w...
04
Billnass na Nandy watambulisha mjengo wao mpya
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Nandy amefichua mjengo wao mpya wa kwanza yeye na mumewe Billnass.Kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha video inayoonesha mjengo huo ikiamba...
03
Billnass tuzo zote duniani zinalalamikiwa
Mwanamuziki Billnass amesema tuzo zote duniani huwa zinalalamikiwa hivyo kwa maoni ambayo yanaendelea kutolewa dhidi ya Tuzo Za Muziki Tanzania yasiwe ya kuvunja moyo."Mimi ni...
16
Miaka miwili ya ndoa, Billnass ajivunia mtoto
Mwanamuziki Billnass ameeleza kuwa katika miaka miwili ya ndoa yake na Nandy, kuna vingi anajivunia lakini kikubwa ni kupata mtoto wa kike."Tunashukuru Mungu kwa kila jema ali...
28
Billnass na Rayvanny waiombea Kenya
Wanamuziki wa Bongo Fleva Nchini Rayvanny na Billnass wametuma salamu za pole na kuwaombea wananchi wa Kenya ambao wamejeruhiwa na wengine kuuwawa katika maandamano ya kupinga...
30
Studio ya Jux kama kwa Diddy
Wanamuziki kutoka nchini Diamond, Jux, Billnass, Mbosso na mtayarishaji S2kizzy (Zombie) wako jikoni kuandaa ngoma ya pamoja ambapo kupitia video inayosambaa mitandaoni inawao...
18
Billnass amkaribisha Marioo kwenye chama
Baada ya jinsia ya mtoto wa Marioo na Paula kutambulika mwanamuziki wa Bongo Fleva  Billnass amemkaribisha marioo kwenye chama cha wazazi. Kupitia ukurasa wake wa Instagr...
08
Billnass achukua muongozo wa maadili BASATA
Baada ya kufungiwa miezi mitatu kwa kutojihusisha na kazi za sanaa na ‘faini’ ya milioni tatu  mwanamuziki #Billnass naye amefika Baraza la Sanaa Taifa #BASAT...
28
Nenga afunguka njaa inafanya waimbe Amapiano
Akiwa katika mahojiano na vyombo vya habari nchini mwanamuziki #Billnass ameeleza kuwa yeye hawashawishi wala kushauri watu kuendelea kufanya muziki wa Amapiano na hatamani wa...

Latest Post