13
Gladnes Kifaluka Aweka Wazi Alivyo Pata Uchizi
Mchekeshaji kutokea nchini Tanzania Gladnes Kifaluka ameweka wazi namna alivopitia wakati mgumu kwa kuugua uchizi na afya ya akiri kipindi cha ujauzito wake, ambapo kitaalamu ...
12
Diamond Platnumz kajimilikisha namba moja
Ndivyo tunaweza kusema kufuatia Diamond Platnumz kuendelea kuwa kinara wa mambo mengi katika tasnia ya muziki hasa wa Bongofleva ambao umempatia mashabiki wengi tangu mwaka 20...
12
Young Boy NBA atatoka gerezani Julai 27, 2025
Rapa Young Boy kutokea nchini Marekani amepangiwa kuachiwa huru Julai 27, 2025 baada ya kutumikia kifungo cha miezi 23 gerazani kwa kesi ya kumiliki silaha kinyume na sheria.R...
11
2025: Wasanii Wajifunze Elimu Ya Biashara Ya Muziki
Na Ammar MasimbaAsilimia kubwa ya wasanii wanaochipukia na hata wale walioko tayari kwenye gemu ya muziki hawajui jinsi ya kufanya biashara ya kusambaza kazi zao. Hali hii ime...
11
Hivi Diamond Naye Ni Bishoo
Ni mtoto wa kihuni. Hajali lolote. Na kutokujali kwake kumemfikisha alipo. Kifupi hasikilizi la mtu wala hana hofu watu watasema nini. Ogopa mtu wa hivyo. Huyo ndiyo Diamond P...
10
Zuchu ni mkubwa kwa Rayvanny kuliko Diamond!
Licha ya Rayvanny kushirikiana na aliyekuwa bosi wake kimuziki, Diamond Platnumz katika nyimbo 10, hakuna hata moja iliyofikia rekodi aliyoipata katika nyimbo mbili tu alizoms...
05
Nicki Minaj ashtakiwa kumpiga Meneja wake
Rapa kutokea nchini Marekani Nicki Minaj ameshtakiwa na aliekuwa meneja wake wa zamani Brandon Garret kwa kumshambulia na kumpiga hali iliyosababisha mfadhaiko wa kihisia kwa ...
31
Ngoma Zilizomkosha Majizzo 2024
Ikiwa ni desturi ya baadhi ya mastaa na watu mashughuli ku-share orodha ya ngoma walizopenda kusikiliza kwa mwaka mzima, naye mfanyabiashara Majizzo hajakaa kinyonge amedondos...
28
Mwaka 2024 na vihoja vyake kwenye burudani
Visa na mikasa ni sehemu ya maisha ya binadamu bila kujali afanya shughuli gani. Kawaida visa hivyo na matukio huacha kumbukumbu katika jamii. Ikiwa mwaka 2024 unaelekea kuish...
26
Jina Nay wa Mitego lilianza hivi
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
24
Utajiri wa Jackie Chan hauwahusu Watoto wake
Mwigizaji wa Hong Kong Jackie Chan ametangaza nia ya kuchangia utajiri wake wote, unaokadiriwa kufikia dola 400 milioni 'Sh 966 bilioni', kama msaada kwa watu wenye uhitaji.Mw...
24
Rais Museveni ampeleka Chameleone Marekani kutibiwa
Nyota wa muziki Uganda Joseph Mayanja 'Jose Chameleone' ambaye kwa sasa anasumbuliwa na maradhi ya kongosho, jana Desemba 23, 2024, alitolewa kwenye hospitali ya Nakasero jiji...
23
Mtoto wa Shilole ahofia kuwa kama Mama yake
Usiku wa kuamkia leo Desemba 23,2024 imefanyika sherehe ya kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya msanii na mfanyabiashara Shilole ambaye aliambatanisha sherehe hiyo pamoja na kufur...
22
Diamond, Nandy wapiga Mtonyo mrefu Kenya
Jumamosi ya jana Desemba 21, 2024 wasanii Diamond Platnumz na Nandy walipata show ya kutumbuiza kwenye harusi nchini Kenya, performance ambayo inaelezwa kuwa ya muda mfupi lak...

Latest Post