Mkali wa hip-hop, Jay-Z amekuwa akiweka wazi kuhusu maisha yake ya awali na uhusiano wake na baba yake, Adnis Reeves ambaye aliikimbia familia. Katika mahojiano aliyofanya hiv...
Mwanamuziki bilionea namba moja wa Marekani, Jay Z anaripotiwa kuwa hajawahi kutoa pesa za bure kwa ndugu zake ambao wamekuwa wakimuomba msaada mara kwa mara.Kwenye moja ya nu...
Unaambiwa licha ya Jay-Z kuwa mwanamuziki tajiri zaidi duniani, lakini muziki wake unachangia kwa asilimia tatu pekee kwenye utajiri wake.Rapa na mjasiriamali huyo ni mshindi ...
Rapa Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutokana na kesi ya ubakaji kwa binti wa miaka 13 anayodaiwa kufanya akiwa na Diddy mwaka 2000.Jay anadai am...
Nyota wa muziki kutoka Marekani, Beyonce ameweka wazi utaratibu wake wakufanya tambiko kila anapomaliza mwaka ambapo hulifanya kwa kujirusha katika bahari.Imeripotiwa kuwa Bey...
Mwanamuziki kutoka Marekani Beyonce amedaiwa kujitosa kufunika sakata la mumewe Jay Z hii ni baada ya Foundation ya BeyGOOD iliyopo chini ya msanii huyo kutoa fedha takribani ...
Mwanamuziki Jay-Z alijitokeza hadharani kwa mara ya kwanza akiwa na familia yake katika onyesho la Disney la Mufasa la ku premier filamu ya 'The Lion King' huko Los Angeles, M...
Mwanamuziki wa Marekani Jay-Z anatuhumiwa kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 13 tukio ambalo linadaiwa kufanyika akiwa na Diddy.Kwa mujibu wa NBC News kwenye taarifa yao wa...
Msanii kutoka Nigeria Habeeb Okikiola ‘Portable’ amefunguka kwa kudai kuwa muziki unalipa kuliko mpira wa miguu huku akishangazwa na wanaodai kuwa wachezaji mpira ...
Baada ya Jay Z kuwashauri watu kuchagua pesa kuliko kuonana na yeye, kwa upande wa ‘rapa’ kutoka Marekani Rick Ross imekuwa tofauti kwake ameeleza ni bora kupata c...
Baada ya kuuliza swali kwa mashabiki kuwa kupata chakula cha usiku na Jay Z au akupe dola 500 ambayo ni sawa na zaidi ya billion 1 za kitanzania, utachaguwa nini, Jay amemaliz...
Ikiwa bongo land tunahangaika na nani atashikiria number one trending kwa muda mrefu, lakini kwa wenzetu mambo yako tofauti, Rapper Jay-Z anafanya kitu tofauti kupitia mistari...
Ebwana eeeh!!!!Unaambiwa Jay Z ameishtua dunia baada ya kuonekana na saa mpya ya 'Patek Philippe Tiffany Blue Nautilus 5711' yenye thamani ya Dola Milioni 6.5 sawa na Tsh Bili...