Baada ya uchunguzi uliyofanywa kwa takribani wiki tatu. Hatimaye rapa na mwanamitindo A$AP Rocky ameachiwa huru baada ya mahakama kumkuta hana hatia kwenye tuhuma mbili zilizo...
Serikali nchini Australia chini ya Waziri wa Sheria Mark Dreyfus imeanzisha sheria mpya ya kutoa kifungo cha angalau mwaka mmoja (miezi 12) kwa mtu atakayeonesha chuki ya aina...
Mahakama inayoendesha kesi ya mauaji ya Rapa Pop Smoke imemuhukumu miaka 29 jela Corey Walker, mwenye umri wa miaka 24 ambaye ni mmoja wa washtakiwa wa mauaji ya rapa huyo wa ...
Uchunguzi bado unaendelea Los Angeles katika kesi inayomkabili rapa ASAP Rocky, ambaye anakabiliwa na mashtaka mawili ya uhalifu, akidaiwa kumpiga risasi rafiki yake wa zamani...
Rapa Daniel Hernandez maarufu 6ix9ine amerudishwa jela kwa siku 30 baada ya kukiuka masharti ya kifungo cha nje alichopewa na Mahakama mwaka 2019.
Mahakama imechukua ha...
Ikiwa imepita wiki moja tangu rapa kutoka jijini Atlanta Marekani, Young Thug kutoka gerezani kutokana na makosa yaliokuwa yakimkabili, hatimaye ameanza kutekeleza adhabu aliz...
Mwanamuziki kutoka Marekani ambaye kwa sasa anashikiliwa kwenye gereza la ‘Metropolian Detention Center’, Sean “Diddy” Combs ameripotiwa kugoma kula ch...
Mwanamke mmoja aitwaye Vera Liddell (68) ambaye pia alikuwa ni mkurugenzi wa huduma za chakula katika Shule ya Illinois, amehukumiwa kifungo cha miaka tisa baada ya kukiri kui...
‘Rapa’ Blueface ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela, baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga mlinzi wa hoteli mwaka 2012 huko North Hollywood.TMZ iliripoti kuwa me...
Mtangazaji na mwanaharakati kutoka nchini Marekani Candace Owens amedai kuwa mkali wa Hip-hop nchini humo Diddy hayupo jela mpaka sasa kwa sababu ni FBI/CIA.Kupitia ukurasa wa...
Aliyekuwa Meneja wa programu za #Facebook, Barbara Furlow-Smiles, ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya ulaghai baada ya kuiba zaidi ya dola 5 milioni kutoka kwa kampuni hiyo ...
Mahakama nchini Austria imeidhinisha mfunguwa Josef Fritzl (89) aliyembaka binti yake na kumzalisha watoto saba kuhamishwa gereza baada ya tabia yake kubadilika.
Inaelezwa kuw...
Mwigizaji kutoka nchini Marekani Jonathan Majors (34) amekwepa kwenda jela mwaka mmoja na kukubali kupatiwa ushauri nasaha kuhusiana na unyanyasaji wa nyumbani, hii ni baada y...
Wanandoa kutoka nchini Ufaransa ambao hawajawekwa wazi majina yao wamehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na faini ya tsh 425 milioni baada ya kuwafanyia ukatili wanyama kwa...