02
Ray C na Babu Tale wametoka mbali sana!
Baada ya miaka mitano akiwa kama Mtangazaji wa Radio, Ray C aliamua kujaribu bahati yake katika Bongofleva, basi sauti yake nzuri, nyembamba na ya kuvutia pamoja na uchezaji w...
01
Aunty Akiri kuzeeka ila Ya Kusah Yanamuumiza
Mastaa wengi wa kike baada ya kuanza majukumu ya kulea watoto, bado huendekeza ustaa na kusahau wamekuwa wamama. Wengine hudiriki kutengeneza tena shepu zao ili warudie mwonek...
29
Basata yaunga mkono matumizi ya Akili mnemba kwa wasanii
Tasnia ya sanaa nchini inatazamiwa kufanya mabadiliko baada ya kupitishwa kwa matumizi ya akili mnemba (Artificial Intelligence AI). Hatua ambayo inatarajiwa kuongeza ubunifu,...
28
Abigail, Harmonize waendelea kukimbiza
Ni Bongo Fleva tena kwenye ramani ya muziki duniani na sasa ngoma ya 'Me Too' ya kwao Abigail Chams na Harmonize imechezwa kwenye Official UKChart Show ya kituo cha habari cha...
28
Ningekuwa S2Kizzy nisingefanya haya...
Ningekuwa S2Kizzy nisingebishana na mtu yeyote anayesema S2Kizzy sio prodyuza mkali. Nisingebishana na mtu yeyote anayekataa kukubali kwamba kati ya ‘hit song’ zot...
28
Kajala, Harmonize yajayo yanafurahisha
UNAWEZA kusema yajayo yanafurahisha kuhusu kurudiana kwa mastaa wawili waliowahi kuwa ‘couple’ ya nguvu hapa Bongo, Harmonize na Kajala baada ya kila mmoja kufungu...
27
Rayvanny azungumzia ishu ya Macvoice
Msanii wa Bongo Fleva na mmiliki wa lebo ya muziki ya Next Level Music, Rayvanny ametolea maelezo kuhusiana na msanii wake Macvoice kuonekana akifanya shoo vijijini 'Chaka to ...
27
Mastaa wanaotoza pesa ndefu kwa matangazo ya Instagram
Jarida maarufu Duniani 'Wealth' linalojihusisha na kutoa ripoti mbalimbali kuhusu utajiri na umiliki wa mali kwa watu maarufu duniani. Limetoa orodha ya watu maarufu wanaopoke...
27
Wasanii wa Nigeria Wanavyobebana
Hivi karibuni msanii Teni kutokea Nigeria amekuwa na wakati mzuri kwenye muziki wake baada ya kuachia ngoma ya Money ambayo imeendelea kukimbiza kwenye mitandao ya kijamii lak...
26
Mzigo wa kesi za Diddy wa punguzwa
Jumatatu Machi 24, 2025, Jaji J. Paul Oetken alitupilia mbali mashtaka yaliyofunguliwa na mtayarishaji muziki 'Rodney Lil Rod Jones' dhidi ya 'Diddy Combs' .Ni mashtaka yaliyo...
25
Shatta Wale adiwa kususia pesa kisa Diamond
Msanii tokea nchini Ghana, Shatta Wale anadaiwa kurudisha kiasi cha pesa alicholipwa kwenye show kisa kupewa pesa ndogo ukilinganisha na wasanii wengine kama Diamond na Davido...
25
Sanaa ya Marekani inavyowateka watu kwa namba 911
Sanaa ya Marekani inavyowateka watu kwa namba 911 Usishangae ukichukua Watanzania 10 ambao hawajahi kufika Marekani hata siku moja, ukawaambia wakutajie namba ya simu ya dharu...
25
Watu maarufu wanaomiliki ndege
Umiliki wa ndege binafsi kwa watu maarufu ni moja ya kitu kinachoonekana kama mafanikio yao. Lakini pia hilo huusisha gharama za usafiri huo wa anga ambao wanamiliki. Wafahamu...
25
Huyu ndiye mtangazaji wa kwanza kutangaza Bongo Fleva redioni
Katika ulimwengu wa sasa wa kidijitali, tasnia ya burudani inaendelea kukua kwa kasi, kutokana na kuwepo kwa vyombo vingi vya habari na mitandao ya kijamii. Lakini je umewahi ...

Latest Post