09
The Game azawadiwa Gari mbili na Kanye
Rapa The Game ameweka wazi kuwa Kanye West alimpatia zawadi ya gari zake mbili aina ya Mercedes-Maybach S680s za mwaka 2025.Game ameweka wazi kupitia ukurasa wake wa instagram...
02
Harmonize Anaweza Mpata E wake yeyote akimuhitaji
Msanii wa Bongofleva Harmonize ametangaza kuachia wimbo Ijumaa hii ambao utakuwa maalumu kwa ajili ya kuwaimbia wapenzi wa zamani.Katika wimbo huo amesema anaomba mashabiki za...
26
Whozu atemana na Too Much Money
Msanii Whozu amejitoa kwenye record label ya Too Much Money na sasa ni msanii anayejitegemea.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Whozu ameweka taarifa rasmi ya kuondoka kwenye l...
15
Chris Brown aandika historia Afrika Kusini
Usiku wa kuamkia leo Desemba 15, 2024 mitandao ya kijamii imechafuka picha na video za mwanamuziki wa Marekani Chris Brown, kufuatia onesho alilofanya Afrika Kusini kujaza uwa...
27
Nyoshi El Saadat ataka bongo fleva waimbe live
Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi, anayemiliki bendi ya Bogoss Musica, Nyoshi El Saadat amewashauri wasanii wa Bongo Fleva kujikita zaidi katika kuimba muziki wa mubashara ...
06
Wasanii wa Bongo wapata madini kutoka kwa mwigizaji Son Ye-jin
Waigizaji wa filamu Tanzania ambao wapo kwenye ziara nchini Korea kwa ajili ya kujifunza masuala ya filamu mapema siku ya leo walikutana na staa wa filamu Korea, Son Ye-jin na...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
13
Kocha wa Bayern aitamani saini ya Gomez
Kocha wa klabu ya #BayernMunich, #VincentKompany anaisaka saini ya beki wa klabu ya #Liverpool, #JoeGomez ili awe mmoja wa wachezaji wake wa kwanza kusajiliwa katika kikosi ch...
31
Mtangazaji azua gumzo, ameza nzi akiwa live
Mtangazaji nchi Marekani aitwaye Vanessa Welch anayefanya kazi katika kituo cha runinga cha Boston25 amezua gumzo na kuwashangaza wengi kupitia mitandao ya kijamii baada ya ku...
20
Kisa Klopp, Guardiola atoa machozi
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola jana alimwaga machozi baada ya kuulizwa swali kuhusu kuondoka kwa meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp.Klopp jana aliiongoza Liverpool kwe...
02
Liverpool yazindua uzi wa mwaka 1984
Liverpool imezidua jezi mpya kwa ajili ya msimu ujao 2024-25, huku mashabiki wakiifananisha na ya mwaka 1984 kutokana na muundo wake. Liverpool inajiandaa na maisha  bila...
27
Liverpool yampata mrithi wa Klopp
Klabu ya Liverpool ya England imefikia makubaliano na timu ya Feyenoord iliyo katika Ligi Kuu Uholanzi juu ya kumchukua kocha wa timu hiyo, Arne Slot kwa ajili ya kukiongoza k...
13
Jaji atupilia mbali kesi ya Drake
Baada ya kuhusishwa katika kesi ya vifo vya watu 10 vilivyotokea katika tamasha la Astroworld lililofanyika mwaka 2021, hatimaye Jaji Kristen Hawkins ametupilia mbali kesi hiy...
09
Amorim kurithi mikoba ya Klopp
‘Klabu’ ya #Liverpool imeripotiwa kuwa imefikia makubaliano ya awali na ‘kocha’ wa ‘klabu’ ya #SportingLisbon, #RubenAmorim kuchukua mikopa...

Latest Post