Licha ya muziki wake kutaliwa na drama nyingi kutokana na kuwa na uhusiano na Shilole kipindi cha nyuma, hiyo haiondoi ukweli kwamba Nuh Mziwanda ni miongoni mwa wasanii wa Bo...
Msanii wa Bongo Fleva Harmonize amefanikiwa kutazamwa zaidi ya mara bilioni moja kwenye mtandao wake wa Youtube.Harmonize alianza kuweka maudhui ya muziki kwenye channel yake ...
Mwanamuziki Diamond Platnumz ametajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na Kusini kufikisha stream milioni 500 kwenye mtandao wa kusikiliza na kuuza muziki Boomplay.Rekod...
Moja ya tukio ambalo limeibua maoni mengi katika mitandao ya kijamii wikiendii iliyopita ni kuhusiana na maneno ya mmoja wa mtayarishaji wa muziki na jaji katika mashindano ya...
Mwanamuziki kutoka Bongo ambaye amepokea pongezi nyingi kufuatia na kupiga show kali aliyoifanya katika tamasha la Trace Awards, Harmonize amewatia mkwala watakao fanya fujo k...
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii mapema leo Februari 26, 2025 nikakutana na video inayomuonesha mwanamuziki Alikiba akisalimiana na Harmonize kwa kukumbatiana ...
Kati ya vitu vinavyohesabika kama mafanikio kwa mwanamuziki ni utoaji wa albamu. Kwani huonesha ukomavu wake kwenye gemu. Kawaida albamu, EP na mixtape zinatofautishwa kwa ida...
Ni miaka saba sasa tangu Marioo aachie wimbo wake wa kwanza 'Dar Kugumu'(2018). Licha ya kuwa wakati msanii huyo anaingia kwenye game aliwakuta nyota wengine waking'ara kama v...
Kwa Bongo ni nadra kukuta nyimbo za hip-hop zikipendwa na wanawake ama kuchezwa club, isipokuwa za wasanii wachache ndiyo hupata bahati hiyo.Kati ya wasanii hao ni Moni Centro...
Gemu ya Hip-hop Tanzania kwa sasa ina majina mengi ya wasanii wanaofanya vizuri hususani wa kizazi kipya ambao kwa pamoja wanaitwa 'New Generation Ya Rap' hapo utakutana na ki...
Msanii Harmonize amelazimika kuhairisha show yake iliyopewa jina la ‘Tukaijaze Nangwanda’ iliyotarajiwa kufanyika Januari Mosi 2025 katika viwanja vya Nangwanda mk...
Rapa Malume Centrozone ameendelea kuwatambia rapa wenzake kutokana na mapokezi ambayo amekuwa akipata kila apandapo jukwaani na Country Wizzy ambaye wanaunda kundi la Moco.Map...
Peter AkaroMgogoro wa hivi karibuni kati ya Diamond Platnumz na Willy Paul wa Kenya uliotokea katika tamasha la Furaha City nchini humo, ni matokeo ya mlundikano wa mambo meng...
Baada ya mwanamuziki kutoka Kenya na mzazi mwenzie na msanii Diamond, Tanasha Donna kukoment utani kwenye moja ya video ya Harmonize, hatimaye Konde amefunguka ukaribu wake na...