King Bad, Marioo ametusanua kwamba Video ya wimbo wa ‘Why’ kutoka kwenye album yake ya ‘The Godson’ imeghalimu zaidi ya Sh 56 milioni mpaka kukamilika ...
Rapa kutoka Marekani Tyga amethibitisha kutokea kwa kifo cha mama yake mzazi aitwaye Pasionaye Nicole Nguyen, ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 53Tyga amethibitish...
Timu ya wanasheria wa Diddy inaonekana kuelemewa na kesi za shirikisho huku mmoja wa mawakili wake wa utetezi amepanga kujiondoa haraka katika kesi hizo.Kulingana na ‘Th...
Mwanamuziki ambaye anatambulika Kimataifa kupitia wimbo wake wa ‘Komasava’, Diamond ameonekana kutumia show ya Jux kumaliza ugomvi wake na Zuchu.Show hiyo ambayo i...
Grimes ambaye ni mwanamuziki na mzazi mwenza wa tajiri na mmiliki wa mtandao wa X, Elon Musk, anadai kuwa tajiri huyo hajiuhusishi na mahitaji ya mtoto huku akidai kuwa hapoke...
Bibwa wa zamani wa kickboxing Andrew Tate, amejikuta akikalia kuti kavu kwenye mtandao wa X (Zamani Twitter). Baada ya kuchapisha ujumbe unaokosoa mwonekano wa mwanamuziki na ...
Albamu ya Marioo 'The God Son' imeshindikana kwenye Chart za muziki nchini. Hii ni baada ya kukaa kwa muda mrefu kama albamu namba moja inayosikilizwa zaidi.Albamu hiyo iliyoa...
Mwanamuziki Beyonce na mume wake Jay-z ni moja ya watu ambao wametembelea nchi mbalimbali kwa lengo la kutoa msaada huku nchini namba moja ikiwa ni Tanzania ambapo wawili hao ...
Kuvaa mavazi bora na ya heshima katika sehemu za kazi kuna umuhimu mkubwa na kunaleta faida nyingi kwa mfanyakazi na kwa shirika kwa ujumla. Hivyo ni muhimu kama mfanyakazi ku...
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone leo Februari 19,2025 anatarajia kufanyiwa upasuaji wa kongosho nchini Marekani katika Hospitali ya Allina Health Mercy iliyopo Coon Rapid...
Kama tunavyojua ujauzito unapo haribika tumboni basi litachukuliwa jukumu la kusafisha na kuacha tumbo likiwa salama, lakini hii imekuwa tofauti kwa mwanamama mmoja kutoka Chi...
Baada ya kuripotiwa kwa taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul, hatimaye sababu kifo chake imetambulika.Kwa mujib...
Tasnia ya filamu na burudani Korea Kusini imepata pigo baada ya taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul.Kwa mujibu...
Tazama mwanamuziki wa Singeli, Baba Kash akiwarusha mashabiki katika viwanja vya Ngome Kongwe, Stone Town kisiwani Unguja.Je kwa vibe hili la mashabiki kutoka mataifa mbalimba...