02
Ray C na Babu Tale wametoka mbali sana!
Baada ya miaka mitano akiwa kama Mtangazaji wa Radio, Ray C aliamua kujaribu bahati yake katika Bongofleva, basi sauti yake nzuri, nyembamba na ya kuvutia pamoja na uchezaji w...
19
Tasnia Ya Burudani Bongo, Changamoto Ipo Hapa
Kelvin KagamboUkitaja wasanii watano wakubwa wa kuimba Tanzania wanawake wapo. Ukitaja waigizaji wakubwa wa filamu Tanzania wanawake wapo.Ukitaja madairekta wakubwa wa michezo...
13
Hizi ni dhambi za fasheni katika uchaguzi wa mikoba
Katika ulimwengu wa fasheni, kuna dhambi za fasheni ambazo zinajitokeza wakati wa uchaguzi wa bidhaa mbalimbali za kunogesha mwonekano wako. Dhambi hizo zipo hata kwenye upand...
04
Waliovunja Rekodi Kwa Kubusu Muda Mrefu Waachana
PEkkachai Tiranarat na Laksana, wanandoa wa muda mrefu kutoka Thailand waliowahi kuvunja rekodi ya Guinness World Record kwa kubusu muda mrefu zaidi mwaka 2013 ambapo walibusi...
14
Mirabaha Ya Wasanii Kuongezeka Maradufu
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amesema kuwa katika kipindi cha Septemba 2023 hadi Novemba 2024 COSOTA kwa kushir...
23
BASATA na mchakato wa kufanya marekebisho kwenye kanuni zake
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) chini ya katibu mkuu Kedmon Mapana ameeleza kuwa wapo katika mchakato wa kufanya marekebisho kwenye kanuni zake.Marekebisho haya yanakuja baa...
21
Kazi za pamoja za wasanii hawa zinakubalika sana
Kuwa na muunganiko mzuri wa wasanii hufanya kazi zao kupendwa na kuwaletea mafanikio. Wengine hupenda kuita Duo ama Combo, wasanii hao wanakuwa sio kundi moja lakini mara zote...
20
Sanaa ya upishi kukuza utamaduni, Waziri Pindi Chana agusia utalii
Kutokana na sanaa ya upishi kuwa miongoni mwa mambo yanayoweza kukuza na kuendeleza utamaduni, utalii, na uchumi. Kufuatia madhimisho ya msimu wa tisa wa wiki ya Vyakula vya K...
13
Mwenye sherehe alivyotaka waalikwa wawe na urefu sana
Kawaida linapokuja suala la kufanya sherehe ya aina yoyote, muhusika ndiyo huamua anataka iwaje. Kwa upande wa Hans Hemmert mwaka 1997 aliamua kutengeneza viatu vyenye visigin...
31
OCS Mwakinyuke: Bila washauri wazuri kwenye sanaa unapotea
Mkuu wa Kituo cha Polisi Tabata, OCS David Mwakinyuke amesema ni muhimu wasanii kupata mshauri mzuri na kutoingia katika vishawishi ili kulinda kipaji.Mwakinyuke amezungumza j...
16
Sanamu la Eliud na Faith laondolewa
Mamlaka ya jiji la Eldoren nchini Kenya imeondoa sanamu la wanariadha Eliudi Kipchonge na Faith Kipyegon waliyoiwakilisha nchi hiyo katika mashindano ya Olimpics 2024 jijini P...
01
HAPAWARDS 2024 Wasanii Bongo wakabana koo
RHOBI CHACHANi nani atakayeibuka mshindi wa tuzo za Hollywood and African Prestigious Awards (HAPAWARDS)? Ni swali linalosubiriwa kujibiwa kwenye usiku wa kinyang'anyiro cha t...
13
Vijana wanavyoitazama sanaa kama sehemu ya kutokea
Moja ya biashara ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kama utaweka jitihada na nguvu katika kujifunza ni sanaa. Kutokana na hilo, sekta hii imekuwa ikikimbiliwa na vijana wengi...
07
Mrs Energy awahamishia upepo mashabiki wake
Na Aisha Charles Safari moja huanzisha nyingine, ndivyo ilivyo kwa mchezaji dansi Set Fibby, maarufu kama Mrs Energy, baada ya kuamua kujikita katika muziki wa Bongo Fleva, ha...

Latest Post