Usiku wa Tuzo za Tanzania Comedy Award uliofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Februari 22, 2025. Umejaa hisia tofauti kwani washindi walisherehekea mafanikio yao...
Mchekeshaji Nduttu ni mmoja kati ya waliokuwa wakiwania tuzo za ucheshi kupitia kipengele cha 'Best Upcoming Stand up Comedian of the year'. Kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awa...
Mkongwe wa muziki wa Hip-Hop nchini Marekani J Cole amemualika staa wa Afrobeat kutokea Nigeria 'Burna Boy' nyumbani kwake North Carolina ambapo kuna studio yake ya nyumbani n...
Grimes ambaye ni mwanamuziki na mzazi mwenza wa tajiri na mmiliki wa mtandao wa X, Elon Musk, anadai kuwa tajiri huyo hajiuhusishi na mahitaji ya mtoto huku akidai kuwa hapoke...
Kwenye ulimwengu wa mapenzi, inaonekana nyota wengi wa mpira wa miguu wanavutiwa zaidi na wanamitindo. Na hii siyo tu kwa Aziz Ki ambaye Februari 16, 2025 alifunga ndoa na mwa...
Baada ya uchunguzi uliyofanywa kwa takribani wiki tatu. Hatimaye rapa na mwanamitindo A$AP Rocky ameachiwa huru baada ya mahakama kumkuta hana hatia kwenye tuhuma mbili zilizo...
Kama tunavyojua ujauzito unapo haribika tumboni basi litachukuliwa jukumu la kusafisha na kuacha tumbo likiwa salama, lakini hii imekuwa tofauti kwa mwanamama mmoja kutoka Chi...
Mama mzazi wa mfanyabiashara na mwanamitindo Hamisa Mobetto, Shufaa ameonesha furaha kufuatia na ndoa ya mwanaye huku akiweka wazi tuu anamshukuru Mungu kwa kumletea mkwe sahi...
Baada ya kuzuka kwa tetesi nyingi kuhusiana na harusi ya nyota wa Yanga na Mwanamitindo Hamisa Mobetto, hatimaye ndoa ya wawili hao tayari imeshapita.Ndoa hiyo imefungwa na Sh...
By RHOBI CHACHAHATIMAYE taarifa ikufikie kwamba, mwanamitindo Hamisa Mobetto leo Jumamosi, Februari 15, 2025, amelipiwa mahari ya ng'ombe 30 na Stephanie Azizi Ki ambaye ni ki...
MAMA mzazi wa Hamisa Mobetto aitwae Shufaa Lutenga maarufu 'Mama Mobetto 'amefichua siri akieleza siku ya kwanza mkwewe, Stephane Aziz Ki kukutana na Hamisa Mobetto alimtamkia...
Dakika chache baada ya kiungo wa Yanga, Stephanie Aziz KI kutupia kambani chuma tatu, furaha yake imemfanya kufichua juu ya ndoa yake na mwanamitindo Hamisa Mobeto.Azizi Ki am...
Mtengeneza maudhui kutoka Tanzania Fanuel John Masamaki, maarufu kama Zerobrainer0, ametajwa kuwa mtengeneza maudhui wa TikTok bora na wakuangaliwa zaidi kwa mwaka 2025 Africa...
Mwigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Hong Kong, Jackie Chan alifunguka kuwa moja ya sababu iliyomfanya mwanae kuharibika na madawa ya kulevya ni kutokana na mazingira ya...