Baada ya Kendrick Lamar kuzikomba tuzo 5 za Grammy wiki iliyopita, usiku wa kuamkia leo Februari 10,2025 alitumbuiza kwenye 'Half Time Show ya Super Bowl ya 59', iliyofanyika ...
Mwanamuziki na mfanyabiashara wa Marekani Kanye West amemuomba Rais wa nchi hiyo Donald Trump kumuachie huru mkali wa hip-hip Diddy Combs anayekabiliwa na tuhuma za unyanyasaj...
Mwanamitindo na mtangazaji wa Marekani, Amber Rose ameendelea kumuunga mkono Rais Donald Trump kwa kazi anayoifanya huku akidai kuwa wale waliokuwa wakimkosoa wakati wa uchagu...
Mwanamuziki na mfanyabiashara Selena Gomez ameshindwa kuvumilia na kuamua kumwaga machozi kuhusiana na uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuwatimuwa wahamiaji.Kupitia uku...
Wakati shughuli za uapisho wa Rais mpya wa Marekani Donald Trump zikifanyika jana Januari 20,2025. Mke wa Rais huyo Melania Trump alitokea kwenye hafla hiyo akiwa amevalia ske...
Mwanamuziki wa Marekani Beyonce ameripotiwa kuwakacha wagombea Urais nchini humo Kamala Harris na Donald Trump.Haya yamejiri baada ya timu ya msanii huyo ikiwakilishwa na msem...
Mgombea wa kiti cha urais nchini Marekani Donald Trump ameripotiwa kutumia picha ya Taylor Swift iliyotengenezwa na akili bandia kuhimiza watu kumuunga mkono katika uchaguzi u...
Timu ya mwanamuziki Celine Dion imeoneshwa kukerwa na mgomea wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kutumia moja ya wimbo wa msanii huyo kwenye kampeni iliyofanyika jijini Mont...
‘Rapa’ kutoka Marekani Cardi B amedai kuwa hatapiga kura katika uchaguzi ujao nchini humo huku akimkataa Rais Joe Biden na mpinzani wake Donald Trump.Cardi akiwa k...
Baada ya nyumba aliyokuwa akiishi kuharibiwa na dhoruba la barafu mwanamama Jo Ann Ussery, maarufu 'Little Trump' ambaye alikuwa anajihusisha na masuala ya saluni aliamua kunu...
Aliyekuwa Rais wa Marekani #DonaldTrump ameingia katika soko la biashara ya kuuza viatu vya dhahabu aina ya ‘Never Surrender’ ambavyo vitauzwa kwa gharama ya Dola ...
‘Rapa’ #SnoopDogg ameweka wazi kuwa hana baya na aliyekuwa Rais wa Marekani #DonaldTrump licha ya watu kuzusha kuhusiana na wawili hao kutokuwa sawa ambapo alidai ...
Kwenye historia tarehe kama ya leo Disemba 20, 1993 aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump alifunga ndoa na Marla Maples. Hata hivyo mwaka 2005 ndoa yao ilivunjika wakiwa wam...
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Kanye West kupitia podcast aliyoifanya hivi karibuni amesema kuwa hatoweza kumuunga mkono, Rais wa zamani Donald Trump mpaka amtoe gerezani ...