UNAWEZA kusema yajayo yanafurahisha kuhusu kurudiana kwa mastaa wawili waliowahi kuwa ‘couple’ ya nguvu hapa Bongo, Harmonize na Kajala baada ya kila mmoja kufungu...
Msanii wa rap kutokea nchini Kenya, Prezzo ameendelea kuweka wazi nia yake ya kuingia kwenye siasa na kugombe nafasi ya Urais kupitia chama chake cha 'CMB' ( Chama Mabadiliko ...
Msanii wa Bongo Fleva na mmiliki wa lebo ya muziki ya Next Level Music, Rayvanny ametolea maelezo kuhusiana na msanii wake Macvoice kuonekana akifanya shoo vijijini 'Chaka to ...
Ni wazi kuwa mwanamitindo Hamisa Mobetto amegeuka mwalimu wa lugha kwa mumewe Stephanie Azizi Ki. Hiyo ni baada ya nyota huyo wa soka kuweka wazi kuwa amekuwa akifundishwa kis...
Jarida maarufu Duniani 'Wealth' linalojihusisha na kutoa ripoti mbalimbali kuhusu utajiri na umiliki wa mali kwa watu maarufu duniani. Limetoa orodha ya watu maarufu wanaopoke...
Hivi karibuni msanii Teni kutokea Nigeria amekuwa na wakati mzuri kwenye muziki wake baada ya kuachia ngoma ya Money ambayo imeendelea kukimbiza kwenye mitandao ya kijamii lak...
Ni wazi kuwa mkombozi wa wasanii wengi ambao hawapati usikivu kwa kiasi kikubwa, kwa sasa ni shoo za 'chaka to chaka' yaani zile zinazofanyikia vijijini.Licha ya kuwa zilikuwa...
Master Jay afichua kinachowaponza wasanii wanaomiliki leboMtayarishaji wa muziki nchini Joachim Marunda 'Master Jay' amesema rekodi lebo nyingi za wasanii Bongo zinashindwa ku...
Jumatatu Machi 24, 2025, Jaji J. Paul Oetken alitupilia mbali mashtaka yaliyofunguliwa na mtayarishaji muziki 'Rodney Lil Rod Jones' dhidi ya 'Diddy Combs' .Ni mashtaka yaliyo...
Wapo baadhi ya wasanii Bongo ambao wamewahi kutambulisha wasanii kupitia lebo zao. Mwishoni mwa 2024 Omary Ally maarufu kama Marioo alimtangaza ‘msanii wake’ wa kw...
Msanii tokea nchini Ghana, Shatta Wale anadaiwa kurudisha kiasi cha pesa alicholipwa kwenye show kisa kupewa pesa ndogo ukilinganisha na wasanii wengine kama Diamond na Davido...
Nimewahi kukutana na washkaji ambao walifanya makosa makubwa sana kwenye maisha yao, makosa ambayo yaliwagharimu kila kitu walichokuwa nacho, walipoteza kazi, pesa, familia, u...
Sanaa ya Marekani inavyowateka watu kwa namba 911 Usishangae ukichukua Watanzania 10 ambao hawajahi kufika Marekani hata siku moja, ukawaambia wakutajie namba ya simu ya dharu...
Umiliki wa ndege binafsi kwa watu maarufu ni moja ya kitu kinachoonekana kama mafanikio yao. Lakini pia hilo huusisha gharama za usafiri huo wa anga ambao wanamiliki. Wafahamu...