Msanii wa Hiphop nchini Tanzania, Rapcha ametangaza kwa mara ya kwanza kuachana na lebo ya muziki ya Bongo Record ambayo imekuwa ikimsimamia kwa muda mrefu.Rapcha ameweka wazi...
Albamu ya A Father Figure kutoka kwa mkali wa Hip Hop, Dizasta Vina iliyotoka Januari 6, 2024 ikiwa imeshiba ngoma kama Theluji, Nobody is safe 5, Hatia VI, Not A Hero, Chupa ...
Leo ni Birth Day ya album ya A Father Figure kutoka kwa mkali wa Hip Hop Dizasta Vina ambayo ilitoka rasmi January 6, 2024 ikiwa imeshiba ngoma kama Theluji, Nobody is safe 5,...
Na Masoud KoffieKwa wafuatiliaji wa muziki wa Hip-hop jina la Dizasta Vinna sio geni masikioni mwao, kutokana na umaarufu aliopata kwenye kiwanda cha burudani nchini. Edger Vi...