15
Obama Na Mkewe Hawana Mpango Wa Kuachana
Ujumbe ambao ameandika aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwenda kwa mke wake Michelle Obama siku ya jana ya Valentine umewakosha watu wengi katika mitandao ya kijamii.Ob...
05
Video zinavyowafaidisha wasanii
Licha ya muziki kuhusisha usikilizaji zaidi lakini video zake zimekuwa na mchango mkubwa wa kukuza kazi za wasanii na kuwapeleka mbali zaidi. Pia zinapanua wigo wa sanaa na ku...
20
Wakali hawa wanainyoosha Hip Hop kwa simulizi
Mtindo wa kusimulia visa na matukio kupitia muziki hasa wa Rap au Hip Hip uliteka hisia za wengi kipindi cha nyuma, jumbe za kuelimisha ndizo zilichukua nafasi kwa asilimia ku...
14
Utafiti: Kufurahia Kahawa Asubuhi, Kunapunguza Magonjwa Ya Moyo
Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kutoka tovuti ya ‘European Heart Journal’ unaonesha kuwa kufurahia kikombe cha kahawa asubuhi kunaweza kupunguza hatari ya mago...
08
Sadio Mane Atamani Kupata Watoto Hawa Na Mkewe
Nyota kutoka klabu ya Al Nassr na timu ya taifa ya Senegal, Sadio Mane ameweka wazi idadi ya watoto anaotamani kuwapata na mke wake Aisha Tamba.Mane ameweka wazi suala hilo ku...
03
Utafiti: Wanaotembea Haraka Hawana Furaha
Kwa mujibu wa utafiti uliyochapishwa katika tovuti ya ‘Research Gate’ umebaini kuwa watu wanaotembea haraka wanaviwango vya chini vya furaha.Hata hivyo kulingana n...
11
Wakali Hawa Wawasusa Wasanii Wa Hip-Hop
Miongoni mwa albamu za muziki wa Bongo Fleva zilitoka 2024 ni pamoja na The God Son ya kwake Marioo na Therapist ya Jay Melody. Albamu zote hizo zimefanikiwa kufanya vizuri kw...
21
Kazi za pamoja za wasanii hawa zinakubalika sana
Kuwa na muunganiko mzuri wa wasanii hufanya kazi zao kupendwa na kuwaletea mafanikio. Wengine hupenda kuita Duo ama Combo, wasanii hao wanakuwa sio kundi moja lakini mara zote...
19
Ngoma hizi ziliwatambulisha vizuri wasanii hawa
Tasnia ya muziki wa Bongo Fleva imejaa vipaji vingi kutoka kwa wasanii tofauti tofauti, ambao kila mmoja alifanikiwa kutoka kwa wakati wake. Katika hao wapo ambao walianza muz...
09
Hawa ndio mastaa wanaokimbiza Spotify
Na Asma Hamis Mwaka 2024 umeleta mafanikio makubwa kwa wanamuziki wengi wa rap duniani, huku baadhi yao wakivunja rekodi za kusikilizwa zaidi kwenye mtandao wa Spotify.Wa...
01
Jinsi ya kutengeneza Scrub ya Kahawa
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, basi hapo kwenye kazi iendelee, Mwananchi Scoop imekuletea mbinu za kibishara zitazofanya ujipatie maokoto kila kukich...
29
Mwamahawa Ally astaafu kuimba taarabu rasmi
MWANAHAWA ALLY ASTAAFU KUIMBA TAARABU RASMIMkongwe wa muziki wa Taarabu Mwanahawa Ally amestaafu kuimba muziki huo baada ya kuimba kwa zaidi ya miaka 58.Sherehe hiyo ya kumuag...
05
Ommy: Diamond akiwa tajiri namba moja msiniite chawa
Mwanamuziki Ommy Dimpoz amewataka mashabiki na wadau mbalimbali kutomuita chawa endapo Diamond atapokuwa tajiri namba moja duniani.Kutokana na video ya Diamond iliyosambaa juz...
20
Mwanahawa Ally rasmi kuacha muziki, maradhi yatajwa
Msanii mkongwe wa Taarab nchini Tanzania, Mwanahawa Ally, ameamua kuacha kuimba kutokana na maradhi yanayomsumbua.Hayo yamebainishwa  na Zamaradi Mketema wakati akizungum...

Latest Post