19
Faida za kuvaa vizuri sehemu za kazi
Kuvaa mavazi bora na ya heshima katika sehemu za kazi kuna umuhimu mkubwa na kunaleta faida nyingi kwa mfanyakazi na kwa shirika kwa ujumla. Hivyo ni muhimu kama mfanyakazi ku...
19
Zingatia haya unapotaka kuvaa nguo oversize, oversize
Kuvaa nguo za oversize (Kubwa) kunaweza kuwa mtindo wa kipekee na wa kuvutia, lakini kuna mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuhakikisha unazivaa kwa njia bora na ufanisi. Zingati...
07
Marufuku Miss Kuvaa Wigi
Waandaaji wa mashindano ya Miss Côte d'Ivoire ‘Ivory Coast’ wameanzisha sera mpya kwa washiriki wa shindano hilo kutotumia nywele za bandia (mawigi) wakati w...
31
Diamond aweka wazi sababu ya kuvaa Kimasai kwenye Komasava
Baada ya kuwepo na minong’ono kupitia mitandao ya kijamii kwa baadhi ya mashabiki wakihoji kwanini Diamond aliamua kuvaa vazi la Kimasai katika video yake na kwanini asi...
18
Mbappe arudishwa kambini, Kuvaa ‘maski’
Shirikisho la ‘soka’ la Ufaransa ‘FFF’ limethibitisha kurejea kambini kwa Nahodha na Mshambuliaji wa ‘timu’ ya taifa ya nchi hiyo Kylian Mb...
10
Mashemeji wacharuka, Wadai kanye anamchukulia mkewe kama mradi
Baada ya mwanamuziki KanyeWest na mkewe Bianca Censori kutokuwa kwenye maelewano mazuri kwa hivi karibuni, marafiki wa mwanamke huyo wanadai kuwa Kanye anamchukulia mkwewe kam...
09
Kishk: Siyo lazima kuvaa abaya mpya Eid
Kutokana vazi la abaya kutrendi kwenye mitandao ya kijamii huku wengine wakidai kuwa ni lazima kuvaa vazi hilo katika sikukuu ya Eid El Fitr, Mkurugenzi wa Taasisi ya Al-Hikma...
03
Hekaheka za Kanye kumpangia mkewe mavazi ya kuvaa
Rapper kutoka nchini Marekani #KanyeWest ametangaza kuwa mkewe #BiancaCensori atavaa nguo chache zaidi mwaka huu, hii ni baada ya kusambaza kwa picha kadhaa za mkewe akiwa ame...
02
Messi akistaafu hatoruhusiwa mchezaji mwingine kuvaa jezi namba 10
Chama cha Soka cha Argentina (AFA) kimepanga kustaafisha 'jezi' namba 10 ya Lionel Messi ambayo awali ilikuwa ikivaliwa na Diego Maradona. Mipango ya kuistaafisha 'jezi' hiyo ...
05
Wakali wa kutupia ligi kuu bara
Baadhi ya mastaa wa soka wanapenda maisha ya bata nje ya uwanja, kununua ndinga kali, nyumba, na mambo mengine pia wapo wanaopenda kuvaa na kupendeza. Hawa hapa mastaa kumi wa...
30
‘Kipa’ Kelleher kuvaa viatu vya Becker
Kocha wa ‘klabu’ ya #Liverpool #JurgenKlopp amethibitisha kukosekana kwa mlinda mlango #AllisonBecker kwa wiki kadhaa baada ya kupata jeraha la misuli ya paja kati...
21
Uvaaji wa vipini na hereni kwa wanaume
Leo katika Fashion mambo yamekuwa mengi na this time nita-deal na fashion kwa wanaume jinsi gani wanavyoonekana katika urembo wa hereni na vipini.Yaweza kuwa niajabu kwa wazee...
10
Morgan afichua sababu ya kuvaa hereni kila wakati
Muigizaji na #Producer maarufu kutoka nchini #Marekani, #MorganFreeman ameweka wazi sababu ya kila wakati kuonekana akiwa avaa hereni, saa na pete za ...
25
Zijue nguo ambazo mwanamke mwenye matiti makubwa hatakiwi kuvaa
Hellow!! Once again on Fashion tumekutana tena hapa katika jarida lako pendwa la Mwananchi Scoop ilikupeana updates mbalimbali katika Fashion, nikusihii tu twendelee na weeken...

Latest Post