04
Mastaa hawa bongo wanapiga miguu yote
Kama ilivyo kwenye mpira wa miguu ni sifa kwa mchezaji kucheza miguu yote kulia na kushoto. Hata kwenye muziki ni hivyo. Mtayarishaji anayeweza kuimba, kuandaa biti na melodie...
04
Mpenzi wa Ney alivyomlipia kurekodi wimbo wa kwanza
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
04
Tuzo za Mimi Mars zipo huku, sio huko!
Ni miongoni mwa mastaa Bongo waliojaliwa vipaji vingi, hakuna ubishi kuwa Mimi Mars amefanikiwa kutengeneza jina lake katika muziki na filamu kitu kinachomfanya kuwa chapa yen...
03
Beyonce, Jayz watajwa mashuhuda kesi mpya ya Diddy
Rapa Sean 'Diddy' Combs anakabiliwa na mashtaka mapya ya biashara ya kuuza binadamu na unyanyasaji wa kingono baada ya Joseph Manzaro kudai alifanyiwa unyanyasaji na rapa huyo...
02
Fid Q awapa mashabiki nafasi ya kuamua
Mwanamuziki Fareed Kubanda (Fid Q) amewapa nafasi mashabiki wake kuchagua ngoma yake ipi aimbe Mei 2, 2025 atakapopanda kwenye jukwaa la Bongo Fleva Honors. Fid Q atafanya sho...
02
Zuchu na umwambao, Rita ajibu mapigo
Ni wazi kuwa kwenye mitandao ya kijamii kinachozungumzwa zaidi kwa sasa ni habari ya mwanamuziki Zuchu na mwanadada Rita Norbeth ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Diamond Platnumz...
02
Diamond, Harmonize kuweka alama miaka 22 ya Mr Blue kwenye gemu
Msanii wa muziki nchini, Mr.Blue ambaye mwaka huu anatimiza miaka 22 kwenye kiwanda cha muziki, ametangaza kuachia nyimbo 22 kama zawadi kwa mashabiki wake.Akizungumza na waan...
02
Majani aingilia kati ishu ya Paula kupewa jina la Kiislamu
Mtayarishaji wa muziki nchini Paul Matthysse 'P Funk' amebariki binti yake Paula Paul kubadili dini na kuwa Muislamu huku akimchagulia jina la Sheila.Hayo ni baada ya mwanamuz...
02
Uhusiano wa Mwana Fa na Mboni Mhita upo hivi
Ni miaka 23 sasa tangu Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' aachie wimbo wake 'Mabinti' wimbo uliobeba majina ya warembo maarufu waliotikisa kwa kipindi hicho. Kati ya warembo waliotajwa ...
02
Miaka 25 ya Lady Jaydee Mashabiki Wamtaka ahamie kwenye Injili
Baada ya msanii wa Bongo Fleva, Lady Jaydee kufanya Cover ya wimbo wa 'Goodness of God' wa Cecewinans mashabiki wamtaka kufanya nyimbo za Injili kwa wingi.Jaydee amesema amefa...
01
Ila Wasamii Kwa Kuzinguana
Kumekuwa na maoni kadhaa kutoka kwa wadau wa muziki kuhusu migogoro katika kazi hiyo. Wapo wanasema bifu zinakuza muziki kwa sababu zinasababisha ushindani katika gemu, lakini...
31
Matovolwa: Wasanii wa sasa ujuaji mwingi
Mwigizaji Lumole Matovolwa ‘Kobisi’ amesema waigizaji wengi wa sasa wamejaa ujuaji kutokana na kutopita kwenye vikundi vya sanaa vinavyofundisha maadili kwa wasani...
29
Msanii Young Scooter afariki kwa kupigwa Risasi
Rapa tokea jiji la Atlanta nchini Marekani, Young Scooter anaripotiwa kufariki dunia kutokana na majeraha yaliyosababishwa na kupigwa risasi wakati wa mzozo kwenye moja ya nyu...
27
Hamisa ageuka mwalimu kwa Aziz Ki
Ni wazi kuwa mwanamitindo Hamisa Mobetto amegeuka mwalimu wa lugha kwa mumewe Stephanie Azizi Ki. Hiyo ni baada ya nyota huyo wa soka kuweka wazi kuwa amekuwa akifundishwa kis...

Latest Post