Kama ilivyo kwenye mpira wa miguu ni sifa kwa mchezaji kucheza miguu yote kulia na kushoto. Hata kwenye muziki ni hivyo. Mtayarishaji anayeweza kuimba, kuandaa biti na melodie...
Msanii wa Hip Hop Bongo, Nay wa Mitego alikuja na mtindo wa aina yake kwenye muziki kwa kukosoa wasanii wengine na baadhi ya mambo kwenye tasnia jambo lililompatia umaarufu ku...
Ni miongoni mwa mastaa Bongo waliojaliwa vipaji vingi, hakuna ubishi kuwa Mimi Mars amefanikiwa kutengeneza jina lake katika muziki na filamu kitu kinachomfanya kuwa chapa yen...
Rapa Sean 'Diddy' Combs anakabiliwa na mashtaka mapya ya biashara ya kuuza binadamu na unyanyasaji wa kingono baada ya Joseph Manzaro kudai alifanyiwa unyanyasaji na rapa huyo...
Mwanamuziki Fareed Kubanda (Fid Q) amewapa nafasi mashabiki wake kuchagua ngoma yake ipi aimbe Mei 2, 2025 atakapopanda kwenye jukwaa la Bongo Fleva Honors. Fid Q atafanya sho...
Ni wazi kuwa kwenye mitandao ya kijamii kinachozungumzwa zaidi kwa sasa ni habari ya mwanamuziki Zuchu na mwanadada Rita Norbeth ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Diamond Platnumz...
Msanii wa muziki nchini, Mr.Blue ambaye mwaka huu anatimiza miaka 22 kwenye kiwanda cha muziki, ametangaza kuachia nyimbo 22 kama zawadi kwa mashabiki wake.Akizungumza na waan...
Mtayarishaji wa muziki nchini Paul Matthysse 'P Funk' amebariki binti yake Paula Paul kubadili dini na kuwa Muislamu huku akimchagulia jina la Sheila.Hayo ni baada ya mwanamuz...
Ni miaka 23 sasa tangu Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' aachie wimbo wake 'Mabinti' wimbo uliobeba majina ya warembo maarufu waliotikisa kwa kipindi hicho. Kati ya warembo waliotajwa ...
Baada ya msanii wa Bongo Fleva, Lady Jaydee kufanya Cover ya wimbo wa 'Goodness of God' wa Cecewinans mashabiki wamtaka kufanya nyimbo za Injili kwa wingi.Jaydee amesema amefa...
Kumekuwa na maoni kadhaa kutoka kwa wadau wa muziki kuhusu migogoro katika kazi hiyo. Wapo wanasema bifu zinakuza muziki kwa sababu zinasababisha ushindani katika gemu, lakini...
Mwigizaji Lumole Matovolwa ‘Kobisi’ amesema waigizaji wengi wa sasa wamejaa ujuaji kutokana na kutopita kwenye vikundi vya sanaa vinavyofundisha maadili kwa wasani...
Rapa tokea jiji la Atlanta nchini Marekani, Young Scooter anaripotiwa kufariki dunia kutokana na majeraha yaliyosababishwa na kupigwa risasi wakati wa mzozo kwenye moja ya nyu...
Ni wazi kuwa mwanamitindo Hamisa Mobetto amegeuka mwalimu wa lugha kwa mumewe Stephanie Azizi Ki. Hiyo ni baada ya nyota huyo wa soka kuweka wazi kuwa amekuwa akifundishwa kis...