16
Remix zinavyo nogesha nyimbo
Wasanii wa muziki wamekuwa na utaratibu wa kuzirudia nyimbo zao ambazo tayari zimetolewa na kuzifanya kwa mtindo mwingine'Remix'.Kawaida remix hizo huhusisha zaidi kubadilisha...
25
Mfahamu Maher Zain wa nyimbo za Ramadhan anayeimba kwa lugha saba
Zimebaki siku kadhaa kuingia mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Mwezi ambao hupambwa kwa swala na nyimbo mbalimbali za Kaswida. Ni ngumu mwezi huo kumalizika bila kusikia wimbo uitwao...
14
Nyimbo Za Kutendwa Zasikilizwa Zaidi Msimu Huu Wa Valentine
Msimu wa Valentine mara nyingi husindikizwa na nyimbo za mapenzi na zilizojaa mahaba duniani kote. Lakini kwa mwaka 2025 imekuwa tofauti Barani Afrika kwani panatajwa kusikili...
05
Diamond Damu Damu Na Nyimbo Za Kutia Huruma
Mwanamuziki Diamond licha ya kufanya vizuri kwa miondoko na midundo mbalimbali ya muziki. Lakini mashairi ya kunung'unika yanaonekana kumbeba zaidi "Aloiumba leo ni Mungu na n...
07
Mashabiki Wanapenda Lava Lava Akiimba Nyimbo Za Kulialia
Kupitia ukurasa wake wa instagram msanii kutokea Lebo ya WCB amewashukuru mashabiki zake kwa muitikio mkubwa waliuonesha baada ya kuachia kionjo cha wimbo wake wa‘Inaman...
09
P Square wahamishia ugomvi wao kwenye nyimbo
Baada ya kutifuana kwa miezi kadhaa katika mitandao ya kijamii wanamuziki kutoka Nigeria ambao pia ni mapasha Peter na Poul Okoye waliounda kundi la Psquare sasa wamehamishia ...
01
Hakimiliki inazingatiwa wasanii kurudia nyimbo za zamani
Na Peter Akaro Miaka ya hivi karibu imekuwa siyo jambo geni kusikia nyimbo mpya za Bongofleva zikiwa na vionjo vya nyimbo za kitambo, hilo limekuwa likitoa nafasi kwa nyimbo h...
07
Mrs Energy awahamishia upepo mashabiki wake
Na Aisha Charles Safari moja huanzisha nyingine, ndivyo ilivyo kwa mchezaji dansi Set Fibby, maarufu kama Mrs Energy, baada ya kuamua kujikita katika muziki wa Bongo Fleva, ha...
04
Gara B, Dokta Cheni wanavyobamba na nyimbo za wasanii wakongwe
Ukisikia cha kale dhahabu ndiyo hiki, kwa sasa kwenye sherehe kama vile harusi, 'Send Off' na 'Kitchen Party' siyo ajabu kusikia ngoma za zamani zikipigwa na wageni waalikwa w...
19
Champion Sound ya Davido ndio Amapiano inayosikilizwa zaidi
Mtandao wa #Spotify umetangaza wimbo wa mwanamuziki kutoka nchini Nigeria #Davido  ‘Champion Sound’ aliyomshirikisha  msanii kutoka Afrika Kusini #Focali...
18
Portable amtolea povu Davido
Mwanamuziki wa Nigeria, #Portable, amemtolea povu mkali wa Afrobeat Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alimtumia vibaya kwa ajili ya kutafuta umaarufu na kumuacha bila msaada w...
11
Albamu ya Zuchu mbioni kutoka
Baada ya mzalishaji muziki nchini Trone, kuthibitisha ujio wa albamu ya mwanamuziki wa Bongo Fleva Zuchu, sasa msanii huyo amesema imekamilika kwa asilimia 100.Zuchu ametoa ta...
07
Babu Tale aamka na Jaymelody
Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki na Meneja wa msanii Diamond, Babu Tale kama ilivyo kawaida yake kutoa maua kwa wasanii mbalimbali nchini leo ameamka na mwanamuziki #Jaymel...
30
Taylor Swift wa moto Billboard, Ajaza ngoma zake
Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Taylor Swift ameutawala mtandao wa Billboard Hot 100, baada ya nyimbo zake 10 kuingia katika chati ya Billboard Top 10, ngoma hizo pia zipo ...

Latest Post