15
Sasa Utaweza Kuweka Mitandao Ya Kijamii Kwenye Whatsapp Yako
Ikiwa ni mwendelezo wa maboresho katika mtandao wa WhatsApp ambao unadaiwa kuwa na watumiaji wengi zaidi, sasa wameweka program mpya ambayo itawasaidia watumiaji wake kuweka l...
07
Shinda Uoga Wako Ujenge Maisha Yako
Na Michael Anderson Je ungekuwa huogopi ungefanya nini ili uboreshe maisha yako?  Unataraji hofu na uoga kukupa unachotaka maishani? Je unajua unapaswa ufanye nini ili uw...
09
Mambo Ya Kuzingatia Unaporudi Kazini Januari
Kheri ya mwaka mpya!Ni mwanzo wa mwaka 2025, walioajiriwa na wafanyakazi wa sehemu mbalimbali wanarudi kazini baada ya mapumziko ya sikuku za mwisho wa mwaka. Zingatia mambo h...
12
Zingatia mambo haya unapotaka kununua vipodozi
Kabla ya kutumia bidhaa za urembo, ni muhimu kujua na kuelewa mambo kadhaa ili kuhakikisha kuwa unatumia bidhaa zinazofaa na salama kwa ngozi yako. Mwananchi Scoop imeangazia ...
01
Unataka faida kwenye biashara yako Fanya mambo haya….
Baada ya kujuzana namna ya kupata wateja katika mitandao ya kijamii na jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kwa ajili ya kujipatia fursa, wiki hii  Mwananchi Scoop imea...
03
Tanzania mambo magumu Olimpiki, yakosa medali nyingine
Matumaini ya Tanzania kupata medali katika michezo ya Olimpiki 2024 sasa yamebakia kwa wakimbiaji wanne baada ya leo muogeleaji Sophia Latiff kushindwa kufua dafu katika shind...
02
Leo siku ya bia duniani, mtaje rafiki yako ambaye unajua hakosi hii
Wanywaji wa bia nchini Tanzania, leo Ijumaa Agosti 2, 2024 wanaungana na wenzao duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Bia inayo...
08
Fanya haya kutengeneza sauti yako kwa ajili ya kuimba
Zipo imani nyingi juu ya kutunza sauti kwa ajili ya uimbaji, wapo mwanaodai kuwa mayai na asali ni kati ya vitu muhimu katika kuboresha sauti ili iwe na mvuto. Sambamba na hay...
27
Jinsi ya kuongeza thamani yako ukiwa chuoni
Na Michael Onesha Mtu wa kwanza kutambua na kuamini kuwa wewe ni wa thamani kubwa ni wewe mwenyewe. Rule namba moja ukiwa kama kijana wakike au wa kiume unatakiwa kujiona wa t...
10
Jinsi ya kupika pilau kwa ajili ya biashara
  Na Aisha Lungato Moja ya biashara ambayo inalipa sana siku hizi na inafanywa na vijana wengi wa kiume nyakati za usiku ni uuzaji wa chakula haswa pilau. Waswahili wanas...
22
Jinsi ya kufanya tafiti ya kuvutia ukiwa chuoni
Na Michael Anderson Nikizungumza kuhusiana na kufanya tafiti ‘research’ kwa wanafunzi wa chuo si jambo geni kabisa, mara nyingi hupewa wanafunzi wanaokaribia kuhit...
22
Mambo yatakayofanya uipende kazi yako
Na Aisha Lungato Kuna uhusiano mkubwa kati ya furaha na utendani wako wa kazi, unapofurahia kazi yako unayofanya kuna uwezekano mkubwa wa wewe kuzalisha zaidi kutokana na kuwa...
04
Fanya haya kuvutia wateja kwenye biashara yako
Wajasiliamali oyee! Leo niko na ka-vibe fulani hivii ka kuwapa mada ambazo zitakufanya upate maokoto kwa wepesi kwako wewe mfanyabiashara mwenzangu, unataka kujua unapataje ma...
21
Apple yawaonya wanaokausha simu kwa kutumia mchele
Baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kuwa simu ikiingia katika maji ili ikauke na iwe salama inatakiwa kulala usiku mzima katika mchele lakini kampuni ya simu Apple imetoa taarif...

Latest Post