Mwanamuziki Darassa 'Mr Burudani' ametangaza ujio wa albamu yake mpya itakayoitwa Take Away The Pain.Albamu hiyo ambayo inatarajia kuachiwa rasmi Februari 7, 2025 ikiwa imebeb...
Mwanamuziki wa Nigeria, Innocent Idibia '2Face' ametangaza kutengana na aliyekuwa mkewe Annie Idibia baada ya kudumu kwenye ndoa kwa miaka 13.Kupitia video inayosambaa kwenye ...
Kila nchi ina misingi na sheria zake. Mara nyingi jina na umaarufu wa mtu si sababu ya kuvunja sheria za nchi fulani. Licha ya kuwa na umaarufu mkubwa lakini wasanii hawa wali...
Msanii Whozu amejitoa kwenye record label ya Too Much Money na sasa ni msanii anayejitegemea.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Whozu ameweka taarifa rasmi ya kuondoka kwenye l...
Watu wanadai kuwa kifo cha Tupac kilikuwa feki wakisema kuwa jamaa ilibidi afanye hivyo kwa sababu alikuwa anawindwa sana na maadui wakiwemo watu wake wa karibu pamoja na seri...
Miongoni mwa waigizaji wapya wanaotikisa kiwanda cha filamu nchini ni Abdulrazak ambaye anaonekana kwenye tamthilia ya Jua Kali.Licha ya kuonekana kwa mara ya kwanza akiigiza ...
Unakatiza zako kitaa. Iwe Mlimani City ama Sinzani kwenye maduka yao yale ya shumizi na vijora. Mara paap unakutana na karembo flan hivi amazing. Unaona kukaacha kapite hivi h...
Haipiti muda mrefu unanunua charger mpya ya simu yako? Inawezekana kuna sehemu unakosea. Zingatia haya unapotaka kununua charger mpya.1.Aina ya plug (Port), Angalia kama charg...
Mwanamuziki wa Bongo Flava, Lulu Diva anayetamba na nyimbo kama Utamu, Ona, Amezoea, Nilegeze na nyingine, amesema ifikie mahala watu waache kumuuliza Wema Sepetu kuhusu kupat...
Baada ya mwanamuziki kutoka Marekani, Kanye West kurepotiwa kurudisha utajiri wake na kumfanya kuwa msanii anayeongoza kwa utajiri duniani, hayimaye Ye amewatarifu mashabiki z...
Msanii wa muziki wa Injili, nchini Goodluck Gozbert amezua gumzo katika mitandao ya kijamii, baada ya kuchoma moto gari alilopewa na mmoja wa Manabii waliopo nchini huku akida...
Kati ya picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuwadatisha baadhi ya kina dada, tangu mwishoni mwa 2024 hadi sasa 2025 ni za mwigizaji Aaron Stone Pierre ambaye amei...
Mwigizaji na mchekeshaji kutoka Marekani Jamie Fox ameripotiwa kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Alyce Huckstepp baada ya kudumu kwa mwaka mmoja kwenye uhusiano wao.Kwa mujibu...
Mwanamuziki wa Marekani, Kanye West ameuanza mwaka vizuri kwa kupata maokoto ya kutosha, hii ni baada ya kuripotiwa kuwa mwanamuziki tajiri zaidi duniani kwa mwaka 2025.Kwa mu...