24
Kendrick Lamar Kuungana Na Sza Kwenye Super Bowl
Nyota anayetamba na ngoma ya ‘Not Like Us’ Kendrick Lamar ambaye atatumbuiza katika onyesho la Halftime la Super Bowl ameripotiwa kuwa hatofanya show hiyo mwenyewe...
24
Haji Manara Na Zaylissa Watimiza Mwaka Mmoja Wa Ndoa
Baada ya kuwepo na minong’ono mingi kuhusiana na ndoa ya aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Marana na mwigizaji Zaylissa kutokufikisha mwaka, hatimaye wawili hao siku ya l...
23
Usichague Kazi Baada Ya Chuo Ila Fanya Iliyo Halali
Na Michael ANDERSON Tanzania kuna tatizo la baadhi ya vijana kuchagua kazi. Tatizo hili ni kubwa hasa kwa vijana wakiume. Baadhi yao wanaogopa kufanya kazi fulani kama mama li...
23
Fahamu Faida Ya Kutumia Toner Usoni
Na Glorian Sulle Ushawahi kujiuliza ni ipi faida ya toner kwenye ngozi? Basi leo acha tukufahamishe ni ipi kazi ya toner na faida nyingine katika kutunza ngozi.  Ili kufa...
23
Ujio Wa Tanzania Comedy Awards; Hatua Mpya Ukuzaji Tasnia Ya Uchekeshaji
Tasnia ya maigizo ya uchekeshaji wiki hii ilipokea taarifa nzuri baada ya kuzinduliwa kwa tuzo za kwanza za wachekeshaji ambazo zi...
23
Namna Ya Kutengeneza Juisi Ya Viazi Vyekundu (Beetroot)
Juisi ya beetroot ni nzuri kwa moyo wako ikiwa na faida zaidi ya moja. Antioxidants, vitamini, na madini katika juisi ya beet husaidia kupunguza uvimbe, kuboresha mzunguko wa ...
23
Jina La Utani Lilivyomkimbiza Madonna Uingereza
‘Material Girl’ ni wimbo wa mwanamuziki kutoka Uingereza Madonna ambao aliuachia rasmi Januari 23, 1985 wimbo huo ulimpatia mafanikio makubwa ya kimuziki pamoja na...
23
Diddy Arudisha Mashambulizi, Afungua Kesi
Baada ya kuandamwa na kesi mfululizo za unyanyasaji wa kingono, hatimaye rapa Diddy ameamua kurudisha mashambulizi. Anadaiwa kufungua kesi ya madai kwa mtu aliyedai kuwa na vi...
23
Zari Atamani Kumuona Zuchu Young, Famous & African
Mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady’ amedai kinachokwamisha Wabongo wengi kutoshiriki kwenye kipindi cha ‘Young, Famous &am...
22
Mbinu Inayotumia Kuzuia Majanga Ya Moto Japan
Kama hukuwahi kuona hii, fahamu kupitia Mwananchi Scoop wakazi wa kijiji cha Shirakawa-go, Wilaya ya Gifu nchini Japan wametengeneza mfumo wa kipekee wa kuzuia moto kuunguza n...
22
Diamond Aongeza Gari, Moja Wapo Haipitishi Risasi
Msanii Diamond Platnumz anaripotiwa kununua gari zingine mbili aina ya mercedes Benz nyeusi ambapo inaelezwa kuwa moja kati ya hizo haipitishi risasi yaani 'Bullet Proff'. Taa...
22
Chris Brown Aishtaki Warner Bros Kisa Makala
Mwanamuziki Chris Brown amewashtaki watayarishaji wa makala inayoeleza unyanyasaji aliyowahi kuufanya, iitwayo ‘Chris Brown: A History of Violence’ akidai kuwa mak...
22
Kesi Ya The Menendez Brothers, Kusikilizwa Machi
Kesi inayowahusisha ndugu wawili Lyle (56) na Erik Menendez (53), inatarajiwa kusikilizwa tena mahakamani baada ya kugundulika kuwa ndugu hao huwenda wakawa hawana hatia.Ikumb...
22
Leo Siku Ya Kukumbatiana Duniani
Kila ifikapo Januari 22 dunia inaadhimisha Siku ya Kukumbatiana. siku ambayo ilianzishwa mwaka 1986 na mchungaji Kevin Zaborney huku lengo kuu likiwa ni kupeana faraja.Siku hi...

Latest Post