05
Huyu Ndio Crush Wa Aaron Pierre Mufasa
Mwigizaji anayewakosha kinadada wengi kwenye mitandao ya kijamii Aaron Pierre ‘Mufasa’ amesema mwanamuziki na mwigizaji Ashanti ndiye mwanamke aliyekuwa akimvutia ...
05
Lil Wayne Aipiga Chini Super Bowl 2025
Rapa Lil Wayne ametangaza kutohudhuria Half Time Show ya Super Bowl inayotarajiwa kufanyika Februari 9, 2025 kwenye mji aliozaliwa rapa huyo 'New Orleans'.Wayne amesema kuwa h...
05
Mfahamu Mwanamke Mwenye Wivu Zaidi Duniani
Mfahamu Debbi Wood mwanamama kutoka nchini Uingereza anayetajwa kuwa mwanamke mwenye wivu zaidi duniani, kutokana na tabia yake ya kutomuamini mume wake Steve Wood.Mwanamke hu...
03
D Voice, Zuchu wapo mbio sana
Ni wazi kuwa waimbaji wa Bongofleva kutokea WCB Wasafi, D Voice na Zuchu wapo mbio sana kuwapa burudani mashabiki wao ukilinganisha na wenzao katika rekodi lebo hiyo iliyoanza...
03
Michael Jackson na ishu ya kujichubua, kubadili pua
Kwa miaka mingi, mfalme wa pop, Michael Jackson, amekuwa akihukumiwa kwa mabadiliko makubwa ya ngozi yake. Wengi wanadai kuwa alitaka kubadilisha rangi yake na kuwa mzungu.Lic...
03
Nicki Minaj, Kanye, Drake mfano wa lebo za muziki
Na Ammar MasimbaUjasiriamali ni moja ya njia zenye faida kubwa katika muziki wa Hip Hop, kutoka kwenye ziara za muziki, mikataba ya kibiashara, uwekezaji, hadi kuanzisha biash...
03
Ukiwapa pesa zako watataka muda wako
Hili ndilo limetokea kwa mwalimu wa mpira wa miguu. Ambaye kwa miongo miwili hii. Soka la ngazi za vilabu duniani, kaliteka na kuliweka chini ya soksi zake.Pep Guardiola kakam...
03
Ushindi wa Tems Grammy, Davido ataacha muziki
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ameibuka mshindi wa Grammy 2025 katika kipengele cha Best African Music Perfomance.Ushindi huo ambao ameupata usiku wa kuamkia leo Februari 3, 2025...
03
Beyonce ashinda Albamu Bora Grammy kwa mara ya kwanza
Hatimaye mwanamuziki Beyonce ameshinda kipengele cha Albamu Bora ya Mwaka ‘Cowboy Carter’ katika tuzo za Grammy 2025 Best na kuwa Mmarekani mweusi wa kwanza kushin...
02
Harmonize Anaweza Mpata E wake yeyote akimuhitaji
Msanii wa Bongofleva Harmonize ametangaza kuachia wimbo Ijumaa hii ambao utakuwa maalumu kwa ajili ya kuwaimbia wapenzi wa zamani.Katika wimbo huo amesema anaomba mashabiki za...
02
Davido atangaza kuacha muziki endapo hatoshinda Grammy 2025
Staa wa muziki wa Afrobeat kutoka Nigeria Davido ameonesha imani yake ya kushinda tuzo ya Grammy usiku wa leo"Kama sitoshinda Grammy mwaka huu ninafikiria kuacha muziki, nimew...
02
Ishow Speed Akipata cha mtema Kuni
Mwanamitandao na mtiririshaji wa maudhui kupitia mtandao wa YouTube Ishow Speed amejikuta akiumizwa baada ya kuingia kwenye ulingo wa mieleka wa WWE Royal Rumble 2025 na kuond...
02
Tuzo za Grammy kugawiwa leo, fahamu haya
Leo Februari 2, 2025 zinatarajiwa kugawiwa tuzo za Grammy ambazo zitakuwa za 67 kufanyika tangu kuanzishwa kwake Mei 4, 1959.1. Tuzo za Grammy ambazo zinaangazia wasanii walio...
01
Bien Aeleza Marioo Alivyomfundisha Mbinu Mpya Za Muziki
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya ambaye alijulikana zaidi kupitia kundi lililovunjika la ‘Sauti Soul’ amefunguka jinsi msanii wa Bongo, Marioo alivyomfundisha mbinu...

Latest Post