Msanii wa Nigeria Asake ameibua mijadala mtandaoni baada ya kutangaza kuanzisha biashara ya Bangi iitwayo Giran Energy 5K mjini California, Marekani.Asake amethibitisha hilo b...
Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.Mwigizaji huyo mwenye ut...
Ni miaka saba sasa tangu Marioo aachie wimbo wake wa kwanza 'Dar Kugumu'(2018). Licha ya kuwa wakati msanii huyo anaingia kwenye game aliwakuta nyota wengine waking'ara kama v...
Mshtaki wa ASAP Rocky ambaye ni rafiki yake wa zamani ASAP Relli, anaripotiwa kutoa ushahidi siku ya jana Januari 28 kwa kuelezea mashtaka mawili ya unyanyasaji aliofanyiwa No...
Unafahamu kuwa mfanyabiashara na mwanamitandao Zari the Boss Lady, awali alikuwa mwanamuziki?Zari aliingia kwenye muziki mwaka 2007 ambapo alirekodi wimbo wake wa kwanza uitwa...
Mshukiwa wa mauaji ya mkali wa Hip Hop Marekani Tupac, Duane “Keefe D” Davis, ameripotiwa kuzichapa gerezani na mfungwa mwenzake katika gereza lililopo Kaunti ya C...
Mwanamuziki na produza kutoka Marekani, Bruno Mars ameweka historia kuwa msanii wa kwanza kufikisha wasikilizaji milioni 150 kila mwezi kupitia mtandao wa kuuza na kusikiliza ...
Ikiwa leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa aliyekuwa mwanamuziki wa Afrika Kusini marehemu Kiernan Forbes 'AKA', familia yake imeendelea kumkumbuka huku mama yake akishusha uj...
Mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Snoop Dogg amefunguka siri ya kudumu kwenye ndoa yake na mkewe Shante Broadus kwa miaka 27.Akizungumza na tovuti ya People kwenye moja ya maho...
Mmiliki wa kampuni wa Microsoft na bilionea kutoka Marekani Bill Gates amefunguka kuwa anatamani kuwa Mnigeria kufuatiwa na kuzikubali ngoma za Afrobeat.“Kama nisingekuw...
Mwanamuziki na mfanyabiashara Selena Gomez ameshindwa kuvumilia na kuamua kumwaga machozi kuhusiana na uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuwatimuwa wahamiaji.Kupitia uku...
Umewahi kufikiria kununua kilo ya nyama kwa laki nane? kama jibu ni hapana fahamu kuwa kuna baadhi ya nchi watu hununua kwa bei hiyo.Nchini Japan hutumia gharama hiyo kununua ...
Rapa Izzo Bizness kutokea Mbeya ana miaka zaidi ya 15 ndani ya Bongo Fleva, ametoa EP moja, The Capricorn (2021), huku akifanya shoo kubwa na miradi mikubwa kwenye tasnia...
Mkali wa Afrobeat nchini Nigeria Tiwa Savage ameeleza kujutia kuachana na mume wake na kuanzisha uhusiano na mwanaume mwingine.
Akizungumza kwenye mahojiano yake na moja ya ch...