11
Agoma kurudi alipotoka, mpaka aonane na Davido
Kijana Emmiwuks aliyesafiri siku nane kwa kutumia baiskeli ili aonane na nyota wa muziki kutoka Nigeria, amegoma kurudi kwao baada ya Davido kutoa kauli ya kumtaka kijana huyo...
11
Baada ya ndoa yake kuvunjika, aanzisha kikundi cha kuruka kamba kupunguza mawazo
Wakati baadhi ya akina mama nchini wakiendelea kuunda vikundi vya kuwezeshana ambavyo vinafahamika kama vikoba, na vinginevyo vina...
11
Samuel Eto’o kuchunguzwa
Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limetaka mchezaji wa zamani na Rais wa shirikisho la soka nchini Cameroon, (FECAFOOT) Samuel Eto’o, kuchunguzwa kufuatia na malalamiko...
11
UN yaitaka FIFA kutoa malipo sawa, wachezaji wa kike na wakiume
Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) limeshauri Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kuhakikisha linatoa malipo sawa ya fedha na tuzo kwa wanawake , kama ilivyo kwa wanaume...
11
Moo: Simba inahitaji ‘kipa’ mwingine
Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed Dewji ameandika kupitia akaunti yake ya Instagram akiwasifia magolikipa wa Simba Ali Salim na Aishi Manula ila akadokeza bado anahitajika mw...
11
Rasco: Mashabiki wanapenda wasanii wagombane, sijam-diss Moni Centrozone,
Mwanamfalme Rasco Sembo, akizungumzia kuhusiana na suala la wasanii wa Hiphop kufanya diss kwenye mistari yao, huku nakidai kuwa b...
11
Asafiri siku 8 kwa baiskeli kumuona Davido, aambiwa arudi alikotoka
Shabiki kindaki ndaki wa msanii kutoka nchini Nigeria Davido, Emmiwuks Embarked ametumia siku 8 kusafiri kutoka Benue mpaka Lagos ...
11
Mayweather asaidia familia 70 zilizo athirika na moto
Bondia wa zamani wa kulipwa Floyd Mayweather amejitoa kuwasaidia zaidi ya watu 70 waliokumbwa na athari ya moto kisiwani Hawaiian, baada ya baadhi ya watu kupoteza makazi na w...
11
Miaka 10 jela, agoma kuomba msamaha
Rapa Tory Lanez baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 10 jela, kwa kosa la kumpiga risasi Megan Thee Stallion, kabla hajaenda jela ameacha ujumbe kupitia ukurasa wake wa Insta...
11
Mh.Temba: Soko la muziki limebadilika, wasanii wa zamani mbadilike pia
Mwanamuziki mkongwe nchini Mhe. Temba ambaye alitamba kupitia kundi la TMK family, amewataka wasanii wa zamani ambao wanataka kuru...
10
Mambo yameiva kwa Kane
Deal done kwa mchezaji Herry Kane kusalia katika ‘klabu’ ya Tottenham baada ya Bayern Munich kufikia makubaliano na Tottenham kumsajili mshambuliaji huyo wa Englan...
10
Wataimba kwangwaru pamoja baada ya miaka mitano
Ni siku chache zimepita baada ya msanii wa #BongoFleva Diamond kuzindua tamasha lake na kufunguka kuwa atafurahi kama  Harmonize na Alikiba wakikuwepo katika tamasha hilo...
10
Mo Dewji: Tuepuke wapotoshaji
Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoa taarifa kuhusiana na baadhi ya ‘timu’ kutowasilisha vibali vya wachezaji wa kigeni kutocheza mchezo wa N...
10
Designer Alien afunguka Alikiba kuazima vazi la Marioo
Baada ya baadhi ya watu kumshambulia mwanamuziki #AliKiba kuwa ameazima vazi la msanii mwenzake #Marioo katika Tamasha la Simba day week iliopita, #Designer #Alien Drip mbaye&...

Latest Post