Ni wazi kuwa mwanamuziki Appy ni kati ya waliofanya vizuri kwa mwaka 2024 kutokana na kazi zao walizoachia. Kati ya nyimbo alizotoa msanii huyo ni 'Marry Jane' iliyotoka Desem...
WhatsApp imeweka feature mpya inayowaruhusu watumiaji wake kuweka wimbo wowote waupendao kwenye hadithi (status).Kwa kutumia feature hiyo mpya unaweza kuchaguwa kipande cha wi...
Baadhi ya watumiaji wa simu za mkononi wamekuwa wakijiuliza ni jinsi gani wanaweza kuficha meseji za kawaida kwenye simu zao ili mtu mwingine asizione wala kuzifungua.Zifuataz...
Ikiwa ni mwendelezo wa maboresho katika mtandao wa WhatsApp ambao unadaiwa kuwa na watumiaji wengi zaidi, sasa wameweka program mpya ambayo itawasaidia watumiaji wake kuweka l...
Apple, SpaceX, na T-Mobile wameungana katika ushirikiano wa kimkakati ili kuboresha mawasiliano kwa watumiaji wa iPhone.Kupitia ushirikiano huu, iPhone zenye toleo jipya la pr...
Watumiaji wa Akili Bandia (AI) katika mitandao yao ya kijamii kama vile WhatsApp, Instagram na Facebook Messenger wataweza kutunza taarifa zao binafsi ambazo wataziweka katika...
Na Ammar MasimbaAsilimia kubwa ya wasanii wanaochipukia na hata wale walioko tayari kwenye gemu ya muziki hawajui jinsi ya kufanya biashara ya kusambaza kazi zao. Hali hii ime...
Kampuni ya kutengeneza vifaa mbalimbali vya mawasiliano Apple, imeripotiwa kuwa na mpango wa simu zake zijazo za ‘Iphone’ kuanza kutumia kamera za Samsung.Imeelezw...
Mtandao unaokubalika zaidi duniani kote wa WhatsApp umetangaza kuacha kufanya kazi katika simu za zamani za Android ambazo hazipati Updates za mfumo mpya unaofanyika kila mwak...
Mwanamuziki wa Marekani Kendrick Lamar ametajwa kuwa rapa bora wa mwaka 2024.Kupitia mtandao wa kuuza muziki ‘Apple Music’ Lamar ametajwa kuwa ndio rapa mwenye ush...
Mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Joel Lwaga ameendelea kuonesha ubabe wake kwenye mtandao wa kusikiliza muziki wa Apple Music kwa kuendelea kushika namba moja kwa wiki t...
Wengi wanadhani kuwa watumiaji wa iPhone ni watu wenye fedha na elimu. Licha ya dhana hizo utafiti uliofanyika China ulibaini kuwa mawazo hayo ni tofauti na uhalisia.Utafiti h...
Je unatamani kuficha baadhi ya chats zako wengine wasizione? Kama ulikuwa unatumia njia ya kufungua WhatsApp yako na kuingia kwa Face ID au Passcode, sasa unaweza kuachana na ...
Nyota wa Paris Saint-Germain (PSG) Achraf Hakimi (25) na aliyekuwa mkewe mwigizaji Hiba Abouk (37), wameripotiwa kuonekana pamoja kwa mara ya kwanza baada ya kupeana talaka mw...