Mchekeshaji Nduttu ni mmoja kati ya waliokuwa wakiwania tuzo za ucheshi kupitia kipengele cha 'Best Upcoming Stand up Comedian of the year'. Kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awa...
Baada ya record lebo ya ‘Pozi Kwa Pozi’ (PKP) iliyokuwa chini ya msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz kufanya vizuri miaka ya 2016 ikiwa na msanii wake Nedy Music, h...
Zanzibar. Mwanamuziki mwenye asili ya Congo, Christian Bella, leo Februari 16,2025, amesema viongozi wa Afrika wanatakiwa kushikamana ili kulinda amani.Bella ameyasema hayo wa...
Wakati mashabiki wakiendelea kumpa Kendrick Lamar maua yake kutokana na alichokifanya kwenye ‘Super bowl Half Time Show’ 2025, tayari baadhi ya mashabiki wameanza ...
Mtanzania anayefanya maudhui ya vichekesho kupitia mpira wa miguu Zerobrainer ashinda tuzo ya Sports Creator of the Year TikTok Awards 2024 zilizofanyika Johannesburg South Af...
Rapa The Game ameweka wazi kuwa Kanye West alimpatia zawadi ya gari zake mbili aina ya Mercedes-Maybach S680s za mwaka 2025.Game ameweka wazi kupitia ukurasa wake wa instagram...
Msanii wa Bongofleva Harmonize ametangaza kuachia wimbo Ijumaa hii ambao utakuwa maalumu kwa ajili ya kuwaimbia wapenzi wa zamani.Katika wimbo huo amesema anaomba mashabiki za...
Kila nchi ina misingi na sheria zake. Mara nyingi jina na umaarufu wa mtu si sababu ya kuvunja sheria za nchi fulani. Licha ya kuwa na umaarufu mkubwa lakini wasanii hawa wali...
Msanii Whozu amejitoa kwenye record label ya Too Much Money na sasa ni msanii anayejitegemea.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Whozu ameweka taarifa rasmi ya kuondoka kwenye l...
Mwanamuziki Chris Brown amewashtaki watayarishaji wa makala inayoeleza unyanyasaji aliyowahi kuufanya, iitwayo ‘Chris Brown: A History of Violence’ akidai kuwa mak...
Nyumba maarufu iliyopo katika kitongoji cha Winnetka, Illinois Chicago ambayo ilitumika kuigizia filamu ya ‘Home Alone’ ya mwaka 1990 inimeuzwa rasmi.Nyumba hiyo i...
Mwanamuziki kutoka Marekani Chris Brown ameonesha kujitoa tangu kuzuka kwa moto katika milima ya Hollywood na sasa ametoa wito kwa serikali kuwapunguzia adhabu wafungwa takrib...
Britt Allcroft, mtayarishaji wa katuni ya Thomas & Friends, kutoka Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na mtayarishaji...
Mwanaume mmoja kutoka Afrika Kusini ambaye hajawekwa wazi jina lake ameripotiwa kuwasilisha kesi ya talaka mahakamani baada ya mke wake kupiga picha yenye utata na mkali wa R&...