Idadi ya watu wanaotumia vipodozi hapa nchini ni kubwa hasa kwa wanawake. Hata hivyo, wanaume nao baadhi wamekuwa wakitumia kwa ajili ya kujiweka katika hali nzuri kimwonekano...
Alianza kufanya vizuri kwenye muziki akiwa bado ni kijana mdogo, uwezo wake wa kuandika mistari kwenzi na kuichana vilivyo ulimpatia umaarufu kwa wasanii wengine hasa wa Hip H...
Katika ulimwengu wa fasheni, kuna dhambi za fasheni ambazo zinajitokeza wakati wa uchaguzi wa bidhaa mbalimbali za kunogesha mwonekano wako. Dhambi hizo zipo hata kwenye upand...
Ni miaka saba sasa tangu Marioo aachie wimbo wake wa kwanza 'Dar Kugumu'(2018). Licha ya kuwa wakati msanii huyo anaingia kwenye game aliwakuta nyota wengine waking'ara kama v...
Ombi la dhamana la mkali wa hip hop Marekani Diddy Combs imekataliwa huku jaji wa mahakama hiyo akidai kuwa hawezi kumuachia huru rapa huyo kutokana na usalama kuwa mdogo kwa ...
Kuna methali isemayo mdharau mwiba mguu huota tende msemo huu umesadiki katika baadhi ya biashara ambazo watu wengi wamekuwa wakizichukulia poa lakini ndiyo hizo hizo ambazo z...
Wengi wanadhani kuwa watumiaji wa iPhone ni watu wenye fedha na elimu. Licha ya dhana hizo utafiti uliofanyika China ulibaini kuwa mawazo hayo ni tofauti na uhalisia.Utafiti h...
Nyota wa Afrobeats kutoka nchini Nigeria Ayra Starr, amejigamba kwa kudai kuwa amepata umaarufu katika muziki akiwa na umri mdogo.
Msanii huyo ameyasema hayo akiwa katika maho...
Kinda wa Uturuki Arda Guler amevunja rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye ‘mechi’ yake ya kwanza kwenye mikikiki...
Na Aisha Lungato
Moja ya biashara ambayo inalipa sana siku hizi na inafanywa na vijana wengi wa kiume nyakati za usiku ni uuzaji wa chakula haswa pilau.
Waswahili wanas...
Baada ya maswali mengi juu ya ndoa ya beki wa klabu ya Richards Bay inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini, Mtanzania Abdi Banda, mwenyewe kajitokeza na kufafanua ilivyokuwa.Staa...
Baada ya siku ya juzi mawakili wa mkali wa Hip-hop kutoka Marekani Diddy kuomba mahakama kufuta baadhi ya kesi kutokana na kesi hizo kuwa za uongo, kijana wa Combs, King Combs...
Kiungo mshambuliaji wa ‘klabu’ ya #RealMadrid, #JudeBellingham usiku wa kuamkia leo amepata tuzo ya mchezaji bora wa kiume katika tuzo za ‘Laures Sports Awar...
Na Aisha Lungato
Ni matumaini yangu wazima wa afya, kama tulivyozungumza wiki iliyopita mwendo ni ule ule tunapeana ma-deal na tips za futari, leo tumekuja na fut...