Tasnia ya filamu na burudani Korea Kusini imepata pigo baada ya taarifa za kifo cha mwigizaji maarufu Kim Sae-ron (24) aliyefariki dunia nyumbani kwake jijini Seoul.Kwa mujibu...
Tamasha la Muziki la Sauti za Busara la 22, lililoanza Februari 14,2025, hatimaye limetamatika leo Februari 16, 2025 kwa burudani ya kusisimua kutoka kwa wasanii wa ndani na n...
Endapo jana Februari 14 ulikosa raha kwa sababu wengi walisherehekea siku ya wapendanao kwa kupokea zawadi, ujumbe wa mahaba au kwenda matembezi na wenza wao, wakati wewe haun...
Sisi wengine ni wajanja. Tunajua namna ya kuishi kwa akili na hawa viumbe. Ni agizo la 'Saa Godi' kwa sisi wanaume wote duniani. Ya kwamba tuishi kwa akili na hawa viumbe uzao...
Mtayarishaji muziki kutoka Marekani ambaye amewahi kufanya kazi na mastaa kama Kanye West amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54.Taarifa ya kifo chake imetolewa kupitia uku...
Mfahamu Debbi Wood mwanamama kutoka nchini Uingereza anayetajwa kuwa mwanamke mwenye wivu zaidi duniani, kutokana na tabia yake ya kutomuamini mume wake Steve Wood.Mwanamke hu...
Kila ifikapo Januari 22 dunia inaadhimisha Siku ya Kukumbatiana. siku ambayo ilianzishwa mwaka 1986 na mchungaji Kevin Zaborney huku lengo kuu likiwa ni kupeana faraja.Siku hi...
Mbunifu wa mitindo kutoka Nigeria, Liz Sanya anatajwa kukamilisha kutengeneza kiatu (sendo) kikubwa zaidi dunaini kwa kutumia masaa 72.Kwa mujibu wa tovuti ya ‘News Cent...
Albamu ya A Father Figure kutoka kwa mkali wa Hip Hop, Dizasta Vina iliyotoka Januari 6, 2024 ikiwa imeshiba ngoma kama Theluji, Nobody is safe 5, Hatia VI, Not A Hero, Chupa ...
Punda liyejizolea umaarufu kupitia filamu ya katuni ya ‘Shrek’ aliyepewa jina la Perry amefariki dunia akiwa na miaka 30.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na hi...
Britt Allcroft, mtayarishaji wa katuni ya Thomas & Friends, kutoka Uingereza amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.Taarifa ya kifo chake ilithibitishwa na mtayarishaji...
Mwanamitandao kutoka Uswisi aitwaye Jocelyn Wildenstein maarufu kama "The Cat Woman" Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84.Taarifa ya kifo chake imethibitisha na mpenzi wa...
Nyota wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya Al-Nassr, ameripotiwa kuwa huwenda akashiriki Kombe la Dunia mwaka 2030.Kwa mujibu ...
Mchekeshaji Frank Patrick 'Molingo' Mkazi wa Wilaya ya Chato mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba 10,2024.Taarifa ya kifo chake imetolewa na Mudi Msomali,...