03
Beyonce, Jayz watajwa mashuhuda kesi mpya ya Diddy
Rapa Sean 'Diddy' Combs anakabiliwa na mashtaka mapya ya biashara ya kuuza binadamu na unyanyasaji wa kingono baada ya Joseph Manzaro kudai alifanyiwa unyanyasaji na rapa huyo...
02
Fid Q awapa mashabiki nafasi ya kuamua
Mwanamuziki Fareed Kubanda (Fid Q) amewapa nafasi mashabiki wake kuchagua ngoma yake ipi aimbe Mei 2, 2025 atakapopanda kwenye jukwaa la Bongo Fleva Honors. Fid Q atafanya sho...
02
Uhusiano wa Mwana Fa na Mboni Mhita upo hivi
Ni miaka 23 sasa tangu Hamis Mwinjuma 'MwanaFA' aachie wimbo wake 'Mabinti' wimbo uliobeba majina ya warembo maarufu waliotikisa kwa kipindi hicho. Kati ya warembo waliotajwa ...
27
Hamisa ageuka mwalimu kwa Aziz Ki
Ni wazi kuwa mwanamitindo Hamisa Mobetto amegeuka mwalimu wa lugha kwa mumewe Stephanie Azizi Ki. Hiyo ni baada ya nyota huyo wa soka kuweka wazi kuwa amekuwa akifundishwa kis...
22
Mfahamu Mwanaume Aliyetafuna Ndege Aina Ya Cessna 150
Michel Lotito maarufu Monsieur Mangetout ‘Bwana mla kila kitu’ kutoka Ufaransa aliingia katika kitabu cha Rekodi ya dunia Guinness, baada ya kuweka rekodi ya mtu a...
22
Diamond, S2kizzy Na Rayvanny Wakikutana Lazima Haya Yatokee
Peter Akaro Imekuwa ajabu kuona wimbo wa Rayvanny, Nesa Nesa (2024) uliotoka takribani miezi mitatu iliyopita ukirejea tena katika chati na sasa challange zake zimeshika kasi ...
22
Mfahamu Elissa Anayetamba Bongo Na Wimbo Wa Halali
Takribani miezi mitatu sasa watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania hususani TikTok na Instagram wamekuwa wakitumia wimbo wa ‘Halali’ katika machapisho ya...
22
Nyuma Ya Pazia John Legend Kufanya Kazi Na Lauryn Hill
Peter AkaroMwanamuziki wa Marekani, John Legend (46) amesema kipindi anarekodi na Lauryn Hill (46) alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuu na hakutegemea kama kazi hiyo ingejumuis...
22
Bondia Foreman Afariki Dunia
Bondia Mstaafu George Foreman amefariki dunia jana Ijumaa, Machi 21, 2025 akiwa na umri wa miaka 76.Taarifa ya kifo cha Foreman imetolewa na familia yake ambayo hata hivyo hai...
21
Zombie: Hakuna Producer Anayefanya Vitu Ninavyofanya Mimi
Mzalishaji muziki maarufu nchini S2kizzy ‘Zombie’ ameendelea kujimwagia maua yake huku akidai hakuna producer mwingine kutoka Bongo anayeweza kumfikia.Zombie ameya...
19
Wasanii wa hip hop wanajua  kuchambua mambo, lakini..
Kelvin KagamboSina lengo la kumshushia mtu heshima ukweli mchungu ni lazima usemwe. Wasanii wa hip hop wa Tanzania ni vichwa kuliko wanaofanya muziki wa kuimba a.k.a wasanii w...
19
Diamond Na Heshima Yake Kwenye Muziki Wa Congo
Mwanamuziki Diamond Platnumz mbali na kutoa ngoma kali kama ‘Komasava’ lakini pia anatajwa kuiunganisha Bongo Fleva na muziki wa Congo. Huku akilete ladha tofauti ...
18
Mashabiki Wa Fally Ipupa Wamvaa Asake
Mkali wa Afrobeats kutoka Nigeria Asake, amejikuta katikati ya utata na mashabiki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambao wametishia kumfungia msanii huyo kufanya matam...
15
Mfahamu Mwanaume Aliyenyoosha Mkono Zaidi Ya Miaka 50
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, kutana na mwanaume kutoka India aitwaye Mahant Amar Bharati Ji ambaye amenyanyua mkono wake wa kulia juu kwa zaidi ya miongo minne (k...

Latest Post