Judith Actress, ndilo jina la Mwanadada anayekuja kwa kasi na kuwabamba mashabiki wa filamu nchini. Sio tu kwa uwezo wake wa kuifanya sanaa pia kwa muonekano wake.Quruthum Ath...
Mtoto wa Michael Jordan, Marcus Jordan anatuhumiwa kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Cocaine pamoja na kuendasha gari akiwa amelewa.Marcus mwenye umri wa miaka 34, alikamat...
Miongoni mwa waigizaji wapya wanaotikisa kiwanda cha filamu nchini ni Abdulrazak ambaye anaonekana kwenye tamthilia ya Jua Kali.Licha ya kuonekana kwa mara ya kwanza akiigiza ...
Unakatiza zako kitaa. Iwe Mlimani City ama Sinzani kwenye maduka yao yale ya shumizi na vijora. Mara paap unakutana na karembo flan hivi amazing. Unaona kukaacha kapite hivi h...
Mtindo wa kusimulia visa na matukio kupitia muziki hasa wa Rap au Hip Hip uliteka hisia za wengi kipindi cha nyuma, jumbe za kuelimisha ndizo zilichukua nafasi kwa asilimia ku...
Miongoni mwa albamu za muziki wa Bongo Fleva zilitoka 2024 ni pamoja na The God Son ya kwake Marioo na Therapist ya Jay Melody. Albamu zote hizo zimefanikiwa kufanya vizuri kw...
Na Masoud KofiiMiongoni mwa wasanii wenye vipaji vya kuimba muziki ambavyo Tanzania imebarikiwa ni pamoja na Mavokali ambaye amekuwa akifanya muziki kwa namna ya tofauti. Benj...
Wataalamu wa utafiti, mkakati na data ‘Statista’ wametoa orodha ya nchi zinazozalisha filamu huku nchi ya Tanzania ikishika namba nne kati ya nchi 10 barani Afrika...
Mauzauza, Ashua, Hakuna Kulala, raha na Wana ni baadhi ya nyimbo za mwanamuziki wa WCB Zuchu zilizomtambulisha kwenye gemu mwaka 2020 baada ya kutambulishwa kwenye lebo hiyo y...
Mwanamuziki wa nyimbo za injili nchini Joel Lwaga ameendelea kuonesha ubabe wake kwenye mtandao wa kusikiliza muziki wa Apple Music kwa kuendelea kushika namba moja kwa wiki t...
Kutokana na tabia ya baadhi ya wasanii kudanganya umri na kutaja mdogo zaidi uoga wa uzee na ubaguzi unataja kuwa chanzo cha kufanya hivyo. Akizungumza na Mwananchi Scoop mwan...
Ni siku nyingine tena madhila yakiwa yanaendelea kumuandama nguli wa muziki wa Hip-Hop duniani Sean ‘ Diddy’ Combs, ambapo upande wa mashtaka jana Septemba 19 umef...
Mkali wa Hip Hop kutoka Marekani Diddy ameripotiwa kukamatwa na polisi New York kufuatia tuhuma za kujihusisha na unyanyasaji wa ngono na biashara za madawa ya kulevya.Kwa muj...
Msanii wa vichekesho nchini Jackson Supakila 'Mkali Wenu' amesema katika vitu ambavyo watu hawavijui kuhusu yeye ni kutopenda kuwa kwenye mahusiano na wanawake wengi.Akizungum...