06
Huyu ndiye Master J usiyemfamu
Wanapotajwa mastaa wenye mchango mkubwa kwenye gemu ya Bongo Fleva, Joachim Marunda 'Master j' jina lake lazima liwepo.Uzoefu wake kwenye gemu huku akiwa amenoa vipaji mbalimb...
28
50 Cent Amjibu Mayweather
Baada ya bondia wa ngumi za kulipwa, Floyd Mayweather kumwagia sifa Rais wa Marekani Donald Trump kuwa ni Rais bora, sasa mwanamuziki 50 Cent hakulikalia kimya suala hilo huku...
25
Sababu Mj Kufunga Bandeji Vidoleni Wakati Wa Show
Marehemu mfalme wa muziki wa Pop kutoka Marekani, Michael Jackson ‘MJ’ mara zote alipokuwa akipanda jukwaani alionekana wa kuvutia kuanzia mavazi, na hata miondoko...
11
Mjukuu wa mfalme aacha kutumia gari kisa kiota cha ndege
Mjukuu wa Mfalme kutoka Dubai, Sheikh Hamdan Bin Mohammed Bin Rashid Al Maktoum, aliwahi kuwavutia watu wengi huku akipokea pongeze kede kede baada ya kuacha kutumia gari yake...
08
Kanye West Amrudisha Diddy Mjini
Baada ya mwanamuziki na mfanyabiashara Kanye West kumuomba Rais wa Marekani Donald Trump amuachie huru Diddy, sasa amekuja kivingine ambapo ameripotiwa kuingiza sokoni tisheti...
16
Zuchu Amjia Juu Ricardo Momo
Mwanamuziki anayetamba na albumu ya ‘Peace of Money’ Zuchu amemtolea povu kaka wa mwanamuziki Diamond, Ricardo Momo baada ya kufunguka kuhusiano na Zuchu kutamani ...
09
Vazi La Boubou Linavyorudi Kwa Kasi Mjin
Kwa miaka ya nyuma kidogo nguo za Boubou zilikuwa zikitumika kuvaliwa hasa katika sehemu za misiba na sehemu za heshima, lakini kwa takribani mwaka mzima sasa nguo hizo zinazo...
09
Filamu Ya MJ Kutoka Oktoba 2025
Filamu inayoonesha na kuelezea maisha halisi ya mfalme wa Pop Duniani Michael Jackson ‘MJ’, imepangwa kuoneshwa rasmi kwa mara ya kwanza Oktoba 3, 2024 baada ya ku...
06
Wolper amjia juu Mwijaku "Usiongelee maisha yangu"
Msanii wa maigizo na mfanya biashara Jackline Wolper amemjia juu Mwijaku kwa kumtaka aache kuongelea maisha na biashara yake kufuatia taarifa za kuachana na alie kuwa mumewake...
04
Hili Ndio Gauni Lililozua Mjadala Mitandaoni
Moja ya nguo ambayo ilizua mjadala nchini Marekni ni gauni hiyo unayoiona kwenye video ambapo watu mbalimbali walikuwa wakibishana kuhusiana na rangi halisi ya gauni hilo.Hata...
30
Rick Ross Kununua Mjengo Wa Card B
Rapa wa Marekani Rick Ross ameonesha nia ya kununua mjengo wa msanii Cardi B baada ya rapa huyo kudai kuwa ameuchoka.Kupitia kwenye mtandao wa X zamani Twitter Rapa huyo wakik...
13
Mr Beast Amwaga Pesa Kujenga Mji
Mtengeneza maudhui kutoka nchini Marekani Mr Beast ambaye alijulikana zaidi kupitia mitandao ya kijamii baada ya kuzikwa akiwa hai kwa siku saba, ameripotiwa kuwekeza mpunga m...
05
Marehemu MJ alivyotimiza ahadi ya rafiki yake
Katika usiku wa ugawaji wa Tuzo za Grammy mwaka 1984 marehemu mkali wa Pop Marekani, Michael Jackson aliwashangaza wengi baada ya kuvua miwani yake mbele ya umati wa watu.Kama...
27
Amitabh Bachchan asimulia alivyokutana na MJ
Mwigizaji mkongwe wa Bollywood Amitabh Bachchan amesema alitaka kuzimia baada ya kukuana kwa mara ya kwanza na marehemu Michael Jackson ‘MJ’.Amitabh ameyasema hayo...

Latest Post