15
Obama Na Mkewe Hawana Mpango Wa Kuachana
Ujumbe ambao ameandika aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kwenda kwa mke wake Michelle Obama siku ya jana ya Valentine umewakosha watu wengi katika mitandao ya kijamii.Ob...
06
Kanye West, Mkewe Huwenda Wakatinga Super Bowl
Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump na mkali wa Pop Taylor Swift kutangazwa kuwepo katika fainali za ‘Super Bowl LIX’, sasa inaelezwa kuwa rapa Kanye West na mk...
29
Jet Li Amkabidhi Mkewe Utajiri Wake Wote
Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.Mwigizaji huyo mwenye ut...
21
Beiber ageuka gumzo, ampinguza mkewe
Mwanamuziki Justin Bieber amewashtua mashabiki baada ya kufuta urafiki na mkewe Hailey Bieber kwenye mtandao wa Instagram jambo ambalo limeibua mijadala mtandaoni. Hatua hii i...
08
Sadio Mane Atamani Kupata Watoto Hawa Na Mkewe
Nyota kutoka klabu ya Al Nassr na timu ya taifa ya Senegal, Sadio Mane ameweka wazi idadi ya watoto anaotamani kuwapata na mke wake Aisha Tamba.Mane ameweka wazi suala hilo ku...
13
Billnass afungukia ishu yake, mkewe na Diamond
Mwanamuziki William Lyimo 'Billnass' amesema kabla ya kwenda kwenye tamasha lolote ambalo atakuwa amealikwa kitu cha kwanza ambacho huwa anaangalia maslahi ya tasnia kabla ya ...
10
T.I na mkewe wafutiwa mashitaka
Mkali wa ngoma ya ‘Live Your Life’, T.I na mkewe Tinny Harris wameripotiwa kufutiwa mashitaka yaliyokuwa yakiwakabili ya unyanyasaji wa kingono waliyoyafanya mwaka...
18
Kizz Daniel adaiwa kuachana na mkewe
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Kizz Daniel ameripotiwa kuachana na mkewe, hii ni baada ya kufuta picha zote akiwa na mama watoto wake huyo. Kupitia ukurasa wa Instagram wa K...
10
Mashemeji wacharuka, Wadai kanye anamchukulia mkewe kama mradi
Baada ya mwanamuziki KanyeWest na mkewe Bianca Censori kutokuwa kwenye maelewano mazuri kwa hivi karibuni, marafiki wa mwanamke huyo wanadai kuwa Kanye anamchukulia mkwewe kam...
10
Bieber na mkewe watarajia kupata mtoto
Mwanamuziki maarufu kutoka Canada Justin Bieber na mkewe Hailey wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza baada ya kuwa kwenye mahusiano kwa miaka saba.Wawili hao wameweka wazi s...
09
Kyle Walker na mkewe kusuluhisha matatizo yao
Baada ya kutokuwa kwenye maelewano kwa muda wa miezi mitano mchezaji wa ‘klabu’ ya #ManchesterCity, #KyleWalker na mkewe #AnnieKilner wameonekana kuwa katika hatua...
07
Ashitakiwa kwa kumuua mkewe kisa bili ya hospitali
Mwanaume mmoja kutoka nchini Marekani aliyefahamika kwa jina la Ronnie Wiggs ameshitakiwa kwa kosa la kumuua mkewe akiwa Hospitali baada ya kushindwa kulipa ‘bili’...
03
Tyson atarajia kupata mtoto wa nane
Bondia maarufu kutoka nchini Uingereza #TysonFury, ameweka wazi kuwa anatarajia kupata mtoto wa nane na mkewe #ParisFury. Fury ameweka wazi suala hilo kupitia ukurasa wake wa ...
19
Kizz Daniel awatolea uvivu wanaomsema mkewe
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Kizz Daniel ameamua kuwatolea uvivu wanaosema mkewe mbaya.Kupitia ukurasa wake wa Instagram upande wa ‘komenti’ Kizz amekuwa akiw...

Latest Post