08
Waafrika Walioshinda Grammy Kupitia Kazi Zao
Peter Akaro Ni hivi karibuni zimetolewa tuzo za 67 za Grammy huko Marekani na kumshuhudia msanii wa Nigeria, Tems akishinda kipengele cha wasanii wa Afrika akiwa ni wa pili ku...
03
Ushindi wa Tems Grammy, Davido ataacha muziki
Mwanamuziki wa Nigeria Tems ameibuka mshindi wa Grammy 2025 katika kipengele cha Best African Music Perfomance.Ushindi huo ambao ameupata usiku wa kuamkia leo Februari 3, 2025...
31
Kisa Mzozo Rwanda Na Congo, Tems Aahirisha Show
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria, Tems ametoa taarifa ya kughairisha tamasha lake alilopanga kulifanya nchini Rwanda kufuatia machafuko yanayoendelea katika nchi ya Congo na R...
09
Tems msanii wa kike afrika aliyeteuliwa vipengele vingi Grammy
Mwanamuziki kutoka Nigeria Tems ameendelea kufanya vizuri katika tasnia ya burudani ambapo ametajwa kuwa msanii wa kwanza wa kike kutoka Afrika kutajwa kwenye vipengele vingi ...
09
Diamond agonga mwamba tena Tuzo za Grammy
Licha ya ngoma ya ‘Komasava’ kufanya vizuri duniani kote lakini msanii Diamond Platnumz amegonga mwamba dhidi ya mastaa kutoka Nigeria katika kuwania tuzo za Gramm...
13
Tems, Rema, Tyla kwenye Playlist ya Obama
Kama ilivyo desturi kwa aliyekuwa Rais wa Marekani Barack Obama kila ifikapo katikati na mwisho wa mwaka kuachia Listi ya ngoma anazopenda kuzisikiliza, hatimaye usiku wa kuam...
13
Ayra Starr, Tems vinara Spotify
Wanamuziki maarufu wa Nigeria, Ayra Starr na Tems wametangazwa kuwa mwaka huu nyimbo zao ndio zinasikilizwa zaidi kutokea nchini humo kupita Jukwaa la Spotify. Inaelezwa kuwa ...
20
Tems: Ukinichumbia jua umepata ua adimu
Msanii Tems amejipa maua yake kwa kudai kuwa mwanaume atakaye mchumbia au kuwa naye katika mahusiano basi atakuwa amepata ua adimu. Mwanamuziki huyo aliyasema hayo wakati akio...
11
Albumu ya kwanza ya Tems kutoka Juni 7
Mwanamuziki anayetamba na kibao cha ‘Me & U’ kutoka Nigeria, Tems ametangaza kuachia albumu yake ya kwanza iitwayo ‘Born In The Wild’ inayotarajiwa...
20
Tyla: Tems Baby amefungua milango kwa wasanii
Mwanamuziki kutoka nchini Afrika Kusini #Tyla amempongeza na kumsifia msanii mwenzake kutoka Nigeria #TemsBaby kuwa anakipaji kikubwa na amefungua milango kwa wasanii wengine....
18
Tems, Travis kwenye album ya Tyla
Mwanamuziki kutoka South Africa, Tyla tayari ameachia listi ya nyimbo ambazo zipo kwenye albumu yake ambapo mwanamuziki Tems pamoja na Travis Scott wakiwa ni miongoni mwa wasa...
11
Albamu ya kwanza ya Tems kuachiwa mwaka huu
Baada ya kushiriki kuandika nyimbo za mastaa wakubwa duniani kama Beyonce na Rihanna, hatimaye Temilade Openiyin ‘Tems’ kutokea nchini Nigeria ametangaza kuwa mwak...
09
Roboti Muhammad azua gumzo mitandaoni
‘Roboti’ wa kwanza wa kiume kuzinduliwa nchini Saudi Arabia aitwaye Muhammad azua gumzo kupitia mitandao ya kijamii baada ya kumpapasa ripota wa kike wa runinga ya...
26
Davido, Tems na Burna Boy kuwania tuzo za NAACP
Wanamuziki wanao ipeperusha Bendera ya #Nigeria #BurnaBoy, #Davido na mwanadada #Tems, wametajwa kuwania Tuzo za #NAACP kutoka nchini #Marekani.Orodha ya wasanii na vipengele ...

Latest Post