21
Mwonekano Wa Ariana Wamuweka Tate Matatani
Bibwa wa zamani wa kickboxing Andrew Tate, amejikuta akikalia kuti kavu kwenye mtandao wa X (Zamani Twitter). Baada ya kuchapisha ujumbe unaokosoa mwonekano wa mwanamuziki na ...
15
Sasa Utaweza Kuweka Mitandao Ya Kijamii Kwenye Whatsapp Yako
Ikiwa ni mwendelezo wa maboresho katika mtandao wa WhatsApp ambao unadaiwa kuwa na watumiaji wengi zaidi, sasa wameweka program mpya ambayo itawasaidia watumiaji wake kuweka l...
07
Zingatia haya unapopata nafasi ya uongozi kazini
Uongozi ni wito na watu husema hakuna kazi ngumu kama kumuongoza binadamu. Kwa kulitambua hilo kwenye Segment ya Kazi tumeangazia mambo ya kuzingatia unapopata uongozi kazini....
06
Kanye West, Mkewe Huwenda Wakatinga Super Bowl
Baada ya Rais wa Marekani Donald Trump na mkali wa Pop Taylor Swift kutangazwa kuwepo katika fainali za ‘Super Bowl LIX’, sasa inaelezwa kuwa rapa Kanye West na mk...
25
Goodluck Gozbert Achoma Moto Gari Alilopewa
Msanii wa muziki wa Injili, nchini Goodluck Gozbert amezua gumzo katika mitandao ya kijamii, baada ya kuchoma moto gari alilopewa na mmoja wa Manabii waliopo nchini huku akida...
22
Huwenda Mpenzi Wa Rihanna Akatupwa Jela Miaka 24
Uchunguzi bado unaendelea Los Angeles katika kesi inayomkabili rapa ASAP Rocky, ambaye anakabiliwa na mashtaka mawili ya uhalifu, akidaiwa kumpiga risasi rafiki yake wa zamani...
10
Squid Game Msimu Wa Pili Yaendelea Kuweka Rekodi
Filamu ya Squid Game msimu wa pili inayooneshwa kupitia Netflix imeendelea kukusanya rekodi na sasa imetajwa kuwa ndio filamu iliyofuatiliwa zaidi na watu wasiotumia lugha ya ...
23
Harmonize: Huwezi kushinda Grammy kwa kusalimia watu
Mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Harmonize amerusha dongo kwa msanii mwenzake Diamond baada ya kushindwa kuchaguliwa kuwania tuzo za muziki Marekani Grammy kwa kudai kuwa huw...
22
Miaka 31 ya Zuchu na karata mbili kubwa
Ikiwa leo ni siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Zuchu akitimiza miaka 31 yapo mengi ambayo yamemgusa katika tasnia yake, lakini kwa kawaida mambo haya mawili tunawe...
21
Mwanasheria wa Diddy afunguka sakata la kuwekwa chini ya uangalizi
Baada ya kuzuka kwa taarifa siku ya jana kuwa mwanamuziki Diddy yupo chini ya uangalizi wa kuzuia kujiua, Mwanasheria wa rapa huyo Marc Agnifilo afunguka kuhusu sakata hilo hu...
28
Fanya haya uwe mtu makini
Na Michael Onesha Mtu wa kwanza kutambua na kuamini kuwa wewe ni wa thamani anatakiwa kuwa wewe mwenyewe. Jione na jiamini kuwa mtu wa thamani kubwa na mwenye vingi, usikubali...
14
Shilole mbioni kufunga ndoa ya nne
Msanii wa Bongofleva, Bongo Movies na mjasiriamali, Zuwema Mohammed 'Shilole', amesema atafunga ndoa na mpenzi wake wa sasa muda si mrefu ujao, ikiwa ni ndoa yake ya nne tangu...
12
Asake ataja sababu Davido kutokuwepo kwenye album yake
Msanii wa Asake amefunguka sababu ya Davido kutokuwepo kwenye Album yake aliyoipa jina la ‘Lungu Boy’ inayotarajiwa kutoka hivi karibuni.Wakati yupo live kwenye In...
03
Iphone zitakuwa na uwezo kwa kurekodi mazungumzo
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kampuni ya simu za Iphone imeweka wazi kuwa katika mfumo wao wa ‘iOS 18.1’ wanatarajia kufanya maboresho katika upande wa kupi...

Latest Post