07
Zingatia haya unapopata nafasi ya uongozi kazini
Uongozi ni wito na watu husema hakuna kazi ngumu kama kumuongoza binadamu. Kwa kulitambua hilo kwenye Segment ya Kazi tumeangazia mambo ya kuzingatia unapopata uongozi kazini....
31
Wengine Wawili Waongezeka, Kesi Ya Diddy
Waendesha mashitaka wa serikali ya Marekani wameripotiwa kuleta waathiriwa wengine wawili wanaodaiwa kuwa na madai mapya dhidi ya ‘Rapa’ Diddy.Kwa mujibu wa tovuti...
25
Goodluck Gozbert Achoma Moto Gari Alilopewa
Msanii wa muziki wa Injili, nchini Goodluck Gozbert amezua gumzo katika mitandao ya kijamii, baada ya kuchoma moto gari alilopewa na mmoja wa Manabii waliopo nchini huku akida...
05
Marioo, Diamond, Harmonize waongoza kusikilizwa Spotify 2024
Zikiwa zimebaki wiki kadhaa kuupindua mwaka 2024 na kuingia 2025, mtandao wa kuuza na kusikiliza muziki wa Spotify umeshusha orodha ya wasanii wanaosikilizwa zaidi kutoka Tanz...
26
Njia wanayotumia wazazi China kuwatafutia watoto wao wenza
Wakati baadhi ya wazazi wa Bongo wakiwatafutia watoto wao wenza katika familia zenye uwezo ama ambazo wanajuana nazo kwa muda mrefu, lakini jijini Shanghai nchini China ni tof...
09
P Square wahamishia ugomvi wao kwenye nyimbo
Baada ya kutifuana kwa miezi kadhaa katika mitandao ya kijamii wanamuziki kutoka Nigeria ambao pia ni mapasha Peter na Poul Okoye waliounda kundi la Psquare sasa wamehamishia ...
08
Baada ya kushindwa kupiga kura, Rihanna akimbilia kwao
Baada ya mwanamuziki kutoka katika visiwa vya Barbados, Rihanna kushindwa kushiriki katika zoezi la kupiga kura kumchagua rais wa Marekani, sasa ameamua kutimkia katika mji al...
01
Hakimiliki inazingatiwa wasanii kurudia nyimbo za zamani
Na Peter Akaro Miaka ya hivi karibu imekuwa siyo jambo geni kusikia nyimbo mpya za Bongofleva zikiwa na vionjo vya nyimbo za kitambo, hilo limekuwa likitoa nafasi kwa nyimbo h...
20
Talaka sio vita, Jennifer Na Ben waonekana pamoja
Mwanamuziki Jennifer Lopez na aliyekuwa mumewe Ben Affleck wameendelea kuonekana pamoja licha ya wawili wao kutarajia kupeana talaka.Lopez na Ben walionekana pamoja katika usi...
13
Hakimi na Ex wake waonekana pamoja
Nyota wa Paris Saint-Germain (PSG) Achraf Hakimi (25) na aliyekuwa mkewe mwigizaji Hiba Abouk (37), wameripotiwa kuonekana pamoja kwa mara ya kwanza baada ya kupeana talaka mw...
04
Billnass na Nandy watambulisha mjengo wao mpya
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Nandy amefichua mjengo wao mpya wa kwanza yeye na mumewe Billnass.Kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha video inayoonesha mjengo huo ikiamba...
28
Rema apokelewa kwa kishindo kwao
Waswahili wanasema nabii hakubaliki kwao lakini msemo huu umekuwa tofauti kwa mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Rema ambaye amepokelewa kwa kishindo nyumbani kwao katika kijiji...
06
Rihanna na Ayra Starr waonekana pamoja kwa mara nyingine
Mkali wa Afrobeat kutoka Nigeria Ayra Starr ameendelea kushika vichwa vya habari baada ya kuonekana Rihanna wakiwa matembezi pamoja.Kwa mujibu wa baadhi za tovuti zinaeleza ku...
01
Dulla Makabila awaomba msamaha Wanasimba
Mwanamuziki wa singeli Dulla Makabila amewaomba radhi mashabiki wa Simba huku akiomba waridhie aweze kutumbuiza katika tamasha la ‘Simba Day’ linalitarajia kufanyi...

Latest Post