Mwanamuziki wa Hip-hop nchini Bando Mc ameweka wazi kuwa wapo mastaa wakubwa ambao waliwahi kumtumia kabla hajajipata katika muziki.Akizungumza na Mwananchi Scoop amesema alip...
Kelvin KagamboSina lengo la kumshushia mtu heshima ukweli mchungu ni lazima usemwe. Wasanii wa hip hop wa Tanzania ni vichwa kuliko wanaofanya muziki wa kuimba a.k.a wasanii w...
Kelvin KagamboUkitaja wasanii watano wakubwa wa kuimba Tanzania wanawake wapo. Ukitaja waigizaji wakubwa wa filamu Tanzania wanawake wapo.Ukitaja madairekta wakubwa wa michezo...
Mtandao wa kuuza na kusikiliza muziki Spotify imeripotiwa kuwalipa wasanii kiasi cha dola 10 bilioni ikiwa ni zaidi ya Sh 26.5 Trilioni kwa wasanii duniani kote. Huku kiwango ...
Mojawapo ya sababu kuu zinazochochea ukuaji wa muziki wa Afrika katika soko la kimataifa inatajwa kuwa ni ushirikiano ‘kolabo’ kati ya wasanii wenyewe kwa wenyewe ...
Nyota wa muziki nchini Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' amesema atawasaini kwenye rekodi lebo ya WCB, waliokuwa washiriki wa mashindano ya kusaka vipaji (BSS) Moses Luka (DRC) ...
Inafahamika kuwa mwanamuziki Sebastian Charles 'Jaivah' ni miongoni mwa wasanii waliopita vizuri na upepo wa muziki wa Amapiano. Tangu ulipoanza kuvuma ukitokea Afrika Kusini....
Baada ya msanii wa singeli nchini Dulla Makabila kupata nafasi ya kuongoza kwa kufanya vizuri kwenye muziki huo. Sasa ametangaza nia yake ya kufungua label ya muziki wa singel...
Licha ya muziki kuhusisha usikilizaji zaidi lakini video zake zimekuwa na mchango mkubwa wa kukuza kazi za wasanii na kuwapeleka mbali zaidi. Pia zinapanua wigo wa sanaa na ku...
Kati ya vitu vinavyohesabika kama mafanikio kwa mwanamuziki ni utoaji wa albamu. Kwani huonesha ukomavu wake kwenye gemu. Kawaida albamu, EP na mixtape zinatofautishwa kwa ida...
Mwandishi Wetu, Mwananchi
Miaka 12 iliyopita, msanii Naseeb Abdul 'Diamond aliwahi kueleza Bila malipo ya Sh 10 Milioni hafanyi kolabo.
Hiyo ilikuwa ni Juni 6, 2012, wa...
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amesema kuwa katika kipindi cha Septemba 2023 hadi Novemba 2024 COSOTA kwa kushir...
Na Ammar MasimbaAsilimia kubwa ya wasanii wanaochipukia na hata wale walioko tayari kwenye gemu ya muziki hawajui jinsi ya kufanya biashara ya kusambaza kazi zao. Hali hii ime...