12
Utofauti Wa Wema Sepetu Na Nancy Sumari Upo Hapa
Nancy Sumari Miss Tanzania 2005, hadi sasa ndiye mrembo mwenye historia yenye msisimko zaidi tangu kuanzishwa kwa Miss Tanzania, hii ni baada ya kufanikiwa kutwaa taji la Miss...
01
Ishu Ya Wema Kuachana Na Whozu Ipo Hivi
Moja ya stori inayoendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii ni kuhusiana na staa wa Bongo Movie Wema Sepetu kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Whozu.Kutokana na wadau na mas...
25
Lulu Diva Amkingia Kifua Wema, Atoa Onyo Kwa Jamii
Mwanamuziki wa Bongo Flava, Lulu Diva anayetamba na nyimbo kama Utamu, Ona, Amezoea, Nilegeze na nyingine, amesema ifikie mahala watu waache kumuuliza Wema Sepetu kuhusu kupat...
15
Bado gemu inamdai Wema Sepetu
Point of no Return ni filamu, kuna pisi kali ilionekana humo. Ina sauti laini na mvuto wa asili uliovutia wengi. Kubwa zaidi ni ubora wake katika kutendea haki 'sini' na 'skri...
18
Je, wajua mapenzi yao yalianzia wapi
Mbali na sanaa, kitu kingine msanii anachouza kwa hadhira yake ni mtindo wake wa maisha, na hapa ndipo mashabiki wengi hupenda kuliko hata zile kazi za msanii husika kitu amba...
12
Huyu ndio Wema Sepetu usiyemfahamu
Baada ya kukabidhi taji la Miss Tanzania aliloshinda mwaka 2006, Wema Sepetu alieleka nchini Malaysia aliposomea Biashara ya Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Limkokwing, akiwa ...
01
Wema Sepetu hajarudia makosa
Mwigizaji mkongwe na mfanyabiashara Wema Sepetu ni kama amejifunza kutokana na yaliyotokea mwaka 2023 katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake, kwani mwaka huu amefanya sher...
23
Kabla ya Mondi na Wema alikuwepo Nature na Sintah
Juma Kassim Kiroboto. Hata spika za studio, redioni na jukwaani zilinyenyekea sauti na viitikio vyake. Kibra Matata 'Saa Necha' katika wakati wake. Aibu! Ni yeye aliyefanya Ma...
14
Shilole mbioni kufunga ndoa ya nne
Msanii wa Bongofleva, Bongo Movies na mjasiriamali, Zuwema Mohammed 'Shilole', amesema atafunga ndoa na mpenzi wake wa sasa muda si mrefu ujao, ikiwa ni ndoa yake ya nne tangu...
06
Wasanii wa Bongo wapata madini kutoka kwa mwigizaji Son Ye-jin
Waigizaji wa filamu Tanzania ambao wapo kwenye ziara nchini Korea kwa ajili ya kujifunza masuala ya filamu mapema siku ya leo walikutana na staa wa filamu Korea, Son Ye-jin na...
05
Tanzania yachaguliwa kufanya filamu na South Korea
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya filamu na South Korea kwa ajili ya kuunganisha soko la filamu la Tanzania na Korea.Hayo yameelezwa kupitia ukurasa wa ...
04
Wema sepetu: Filamu za tanzania hazitakuwa kama zamani tena
Baada ya mwigizaji mkongwe na aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu kufika nchini Korea kwa ajili ya ziara ya mafunzo kuhusiana na mswala mazima ya tasnia ya ui...
20
Bongo Movie ilivyowapa kisogo mamisi
Tangu kuanzishwa kwa mashindano ya kusaka warembo,  Miss Tanzania mwaka 1967 tayari imepita miaka 57,  huku taji hilo likiwa limevaliwa na warembo 30 hadi kufikia mw...
27
Utafiti: Paka hufurahi zaidi kuishi na binadamu wema
Kwa mujibu wa watafiti katika maabara ya Human-Animal Interaction (HAI) ya Chuo Kikuu cha Oregon State cha nchini Marekani webaini kuwa paka wanafurahia maisha zaidi wakiishi ...

Latest Post