11
Wezi wavunja na kuiba perfume zanye thamani ya zaidi ya sh 50 milioni
Wezi sita wavunja vioo vya duka la urembo la Macy’s lililopo Northridge, kwa kutumia nyundo na kisha kuiba manukato ya ...
11
Majeraha ya wachezaji yampa hofu kocha wa Chelsea
Taarifa zinaeleza kuwa star mpya aliyesajiliwa na ‘klabu’ ya #Chelsea, #RomeoLavia ameumia kifundo cha mguu wakati wa mazoezi week iliyopita huku Carney Chukwuemek...
11
Mlinzi wa shule apigwa risasi ya kichogo akiamulia ugomvi
Mlinzi wa shule ya Thomas R. Proctor, iliyopo New York apigwa risasi kichogoni wakati akizuia ugomvi, katika eneo la kuegesha magari lililopo karibu na uwanja wa mpira wa shul...
11
Lady Jaydee kutoa msaada wa masomo kwa watu watano
Msanii wa Bongo Fleva Lady Jaydee ametoa nafasi tano za ufadhili wa masomo kwa ngazi ya chuo kwa watu ambao wazazi au walezi wao hawana uwezo wa kumudu gharama za kulipia ada....
11
Rais wa ‘soka’ aliyembusu mchezaji wa kike ajiuzulu
Hatimaye Rais wa Shirikisho la Soka Hispania, Luis Rubiales amejiuzulu kufuatia sakata la kumpiga busu mdomoni mchezaji wa Timu ya Taifa ya wanawake Jenni Hermoso, kitendo amb...
10
Siri ya Maxi uwanjani
Inadaiwa kuwa mchezaji wa 'timu' ya#Yanga #MaxiNzingeli wanapokuwa kambini yeye ndio anakuwa wakwanza kuwahi mazoezini na wa kwanza kutoka mazoezini. Sasa kwa mantiki hiyo ina...
10
Je kuna ubaya wowote msanii kutumia jeneza kama ubunifu
Kutokana na ubunifu wa mwanamuziki DiamondPlatnumz kupanda jukwaani na majeneza, kumezuka ubishani kwa wadau wa muziki huku wengine wakidai si sawa na wengine wakisifia ubunif...
10
Nicolas amalizana na Arsenal
‘Klabu’ ya Arsenal imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na aliyekuwa mchezaji wao Nicolas Pepe ambaye walimsajili kwa dau la pauni milioni 72 kutok...
10
Ronaldo aitoa hoteli yake kuhifadhi manusura wa tetemeko la ardhi Morocco
Jabali la soka ulimwenguni Cristiano Ronaldo ameamua kuitoa hoteli yake ya kifahari ya Pestana CR7 iliyoko Marrakech nchini humo k...
10
Marufuku watoto kucheza ‘show’ kwenye masherehe
Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ametoa onyo  watoto kutoruhusiwi kucheza ‘show’ kwenye masherehe hasa nyak...
10
Mwijaku: Mumkumbushe Zuchu kutumie pesa zake kuniangamiza
Akizungumza na waandishi wa habari DC wa Instagram #Mwijaku amedai kuwa baada ya kukutana na Bi Khadija Kopa na kuyamaliza yaliyokuwa yanaendelea mitandaoni baada ya kumkosea ...
10
Sancho akalia kuti kavu Manchester United
Inadaiwa kuwepo kwa taarifa za 'winga' wa ‘klabu’ ya #ManchesterUnited, #JadonSancho anaweza kuondoka Old Trafford  baada ya tovuti ya ESPN kuripoti baadhi ya...
09
Lulu: Simlaumu mama Kanumba
Baada ya muigizaji Elizabeth Michael (Lulu) kuonekana kwenye video akiwa anasalimiana na mama yake marehemu Kanumba, na video hiyo kuonesha kuwafurahisha wafuasi wengi wa mita...
09
Professor Jay amshukuru Kikwete kwa msaada
Msanii mkongwe nchini Professor Jay amtembelea Rais mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete nyumbani kwake kwa dhumuni la kumshukuru kwa kumsaidia katika kipindi chake cha matibabu...

Latest Post